Diploma ya udaktari haijitoshelezi yenyewe na kuna mambo mengi unafundishwa juu juu ni tofauti kabisa na stashahada ya udaktari hivyo hili swala sio la siasa wala nini miaka ibakie vile vile mitano isipunguzwe wala nini
Mbona Raisi wa Zambia sio mkali na nchi inatembea anatimiza ahadi alizowaahahid wananchi kipind cha kampeni mzee sio lazima uwe mkali kuendeleza nchi zinaitajika strategies katika kuiongoza sio ukali fatilia siasa za Botswana afu uje uandike upuuzi wako tena
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.