Recent content by Slivery

  1. S

    Mtaala wa Udaktari Udurusiwe

    Diploma ya udaktari haijitoshelezi yenyewe na kuna mambo mengi unafundishwa juu juu ni tofauti kabisa na stashahada ya udaktari hivyo hili swala sio la siasa wala nini miaka ibakie vile vile mitano isipunguzwe wala nini
  2. S

    Mtaala Mpya wa Elimu, Bila Kiswahili chuoni, tukutane Mahakamani!

    Chuo cha Afya uwezi kufundisha kwa kiswahili labda vyuo vingine
  3. S

    Wazo: Serikali ishushe PAYE kufikia single digit, kisha Serikali ifanye biashara ya kutoa mikopo kwa wafanyakazi kupitia BoT kufidia kodi itakayopotea

    Ndo maana JF itaendelea kuwa jarida la watu wenye akili uzi mzuri sana huu hope utafanyiwa kazi
  4. S

    Wanaume wenzangu, kabla ya kuamua kuingia ndoani fanya kama mimi

    Sema wanawake mnapenda kuteteana kweny ujinga
  5. S

    Kamishna wa zamani wa TRA, Rishade Bade arejea Wizara ya Fedha

    [emoji1535][emoji1535]somo kubwa
  6. S

    Kamishna wa zamani wa TRA, Rishade Bade arejea Wizara ya Fedha

    Duh oii hii si hatar sana
  7. S

    Jumaa Aweso mtoto wa mama n'tilie pokea maua yako

    Unaongea haya maneno je hujui Mwanza maji bado ni shida!???
  8. S

    Freeman Mbowe anatakiwa akajifunze siasa kwa Othman Masoud wa SUK Zanzibar

    Sio ww tu watu wengi wamekosa imani kwa Mbowe tumaini halipo tena
  9. S

    Warere Beach Resort: Zainab Oladehinde alikubaliana na mlinzi kufanya mapenzi. Alitaka tumlipe fidia USD 10,000

    Sema mlinzi alikosea kwenya ananuka angeoga kwanza[emoji23][emoji23][emoji16]
  10. S

    Mkuu wa nchi lazima awe mkali na aogopwe. Asipoogopwa kila kitu kitakwenda mrama. Hata hayati Julius Nyerere aliogopwa na alikuwa mkali

    Mbona Raisi wa Zambia sio mkali na nchi inatembea anatimiza ahadi alizowaahahid wananchi kipind cha kampeni mzee sio lazima uwe mkali kuendeleza nchi zinaitajika strategies katika kuiongoza sio ukali fatilia siasa za Botswana afu uje uandike upuuzi wako tena
  11. S

    Tafsiri ya picha katika ulimwengu wa kiroho

    Ajari ilimtembeza uyu kijana
  12. S

    Tafsiri ya picha katika ulimwengu wa kiroho

    Yea uzi wako braza unafundish na kutisha kwa wakati mmja
  13. S

    Tafsiri ya picha katika ulimwengu wa kiroho

    Nadhan wote mlisikia kuhusu kifo cha uyu kijana wa UDOM, Mungu ampe pumziko la amani
  14. S

    Usisomeshe mtoto shule za gharama kwa matarajio kwamba atapata ajira, utaishia kuumia tu

    Chuo kikuu wazazi wasitarajie watoto kupata mkopo asee na mtoto atasom kwa shida sana
  15. S

    Rais Samia aduwaza wachumi nchini

    Wakati 2025 mnawaza uchaguzi kuna watu wanawaza kutengeneza magari ya kujiendeza yenyewe
Back
Top Bottom