Recent content by slello

  1. S

    Kuanzia leo mimi sio muumini tena wa Kanisa Katoliki

    Pole sana Kanisa Katoliki lina mifumo yake imara kabisa. Kulingana na maelezo yako wewe hauko karibu na Jumuiya yako. Taarifa zote ya Mkatoliki Mlei hutolewa na Jumuiya Mahalia. Rafiki zako walitakiwa wawe wawazi na sii wafiche hali ya Baba yao. Kwa uelewa wangu Kanisa lilifanya vizuri kabisa...
  2. S

    Fahamu mambo mbalimbali kuhusu Kilimo cha Korosho

    Asante sana. Kwa majibu yanayojitosheleza.
  3. S

    Pata mkopo wa gari lipia ndani ya miaka miwili

    Nahitaji Harrier njoo Pm
  4. S

    Jumuiya yetu ya Kanisa Katoliki imevunjika sababu ya michango kuwa mingi

    Unaongelea Jumuiya Ndogo Ndogo za Kanisa Katoliki Takatifu La Mitume?Ama kweli wewe hulijui Kanisa Katoliki.Jumuiya zake haziwezi kufa kamwe na ndo kwanza madhehebu mengine yanaiga.Kaa vizuri na viongozi wako wa hiarakia mahalia watakuelewesha unacholalamikia vinginevyo unajidhalilisha bure kabisa
  5. S

    Biashara ya Kuchakata na Kufungasha Unga wa Mahindi (Sembe na Dona)

    Ni pm tuone tunafanyaje niko interested Sent from my SAMSUNG-SGH-I337 using JamiiForums mobile app
  6. S

    Libermann Secondary School Goba

    Mkuu unakosea sana kuihusisha Taasisi yenye hadhi kama liberman Boys ambayo iko chini ya Holy Ghost Fathers na vitendo vya kishoga!Kwa kweli umenihuzunisha kwani inaelekea hujui kuwa watoto wetu tunaowapeleka pale ndo wanakuwa na tabia mbovu ambazo either wanatoka nazo majumbani mwao au shule...
  7. S

    Fundi Pavement anahitajika

    Uko maeneo gani
  8. S

    Termination of contract

    Hii ndio kazi yangu kama kuna mtu ana sida anipm tuu
  9. S

    Biashara ya mifugo (ng'ombe, mbuzi, kondoo n.k)

    Kama tayari upo kwenye soko ni Pm
  10. S

    Land cruiser ya utalii

    Hongera sana, Nenda Moshi kuna vijana wanafanya kwa bei nzuri sana otherwise Rajinder Motors Moshi ndo kazi zao ila wako juu
Back
Top Bottom