Kaka hilo ni papai na. Mbuzi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapo unataka kuibiwa kisa inaonekana unahuruma piga chini
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi siamini kama wamefirisika ila sema tu wameamua kuhamisha uwekezaji wao kutoka Tz kwenda kwingine ...maana walikuwa na dhamna za kutosha inawezekana sera sio rafiki kwao
Sent using Jamii Forums mobile app
Hixo ni mdoto za kutoka kuvuta jani cdm imepoteza falsafa na mwelekeo leo iungane na ACT ....Nchi haichukuliwi kirahic hivyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Naunga mkono hoja kweli ,wengi humu watembeza bahasha tu kila ofisi halafu wanajifanya wamefanikiwa wanaleta maisha ya chuo looooooo badirikeni
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaume wengi hawajielewi kabisa mtu anakuja pm badala ya salamu anaanza oyo uko pande za wapi? **
Hiyo hapo number nitafute whatsap utadhani alininunulie yeye simu **
Mara ooh wewe mrembo sana naomba picha sijui nani kamwambia kuwa nagawa picha
Lugha zenu sio nzuri kabisa !! Halafu wengi...
Hizi ni roho za kishetani kabisa ...kwa jina la yesu zishindwe....wanaofanya hivyo huwa nawaona kama wamejikatia tamaa na maisha
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.