Unaakili fupi sana mkuu, mi nikiumwa huo mzigo unaingia sasa mwambie bodaboda aharishe siku tatu tuMkuu kwani hiyo pesa ni ndefu sana 950k wakati ni wastani wa shilling 30,000 kila siku...ambazo na dereva boda boda anazipata mama tilie, fundi cherahani dala dala muuza matunda nk. ....wakati hata wakuenda shule
Sent using Jamii Forums mobile app