Kazi ya kampeni ni ngumu kidogo.ukipata fursa itumie endelea na safari.hakuna jambo la ajabu hapo.kipindi hiki kazi na dawa.piga kura kwa Lowasa linda ushindi
Ni rais gani duniani anaitwa profesa.sembuse wa kupewa.ataitwa na wanae.heshima ni pale unapofanya mambo ya heshima kwa watu wake.Tanzania tunashindw nini kumpa heshima ya uprofesa hadi apewe na wazunge.kama ndo hivyo hao wazungu ndo wamuite prof.
Baada ya kifo maneno ni mengi(consipiracy).kwa mtazamo wangu ajali ilisababishwa na usingizi kwa dereva.fuatilia ratiba zao toka Mbeya hadi eneo la ajali.je dereva alipata muda wa kulala?saa 11 alfajiri ni muda hatari sana.ajali nyingi za muda huo husababishwa na usingizi
Magufuli anawapotezea watanzania muda wao..huku anasema atakomesha ufisadi..huku nyuma ccm inauza mali ya umma.ebu tuambie Hisa za TBL wameuza kwa sabb fani,pesa zipo wapi?je kwa nn wamechukua hela chama cha walimu kinyemela????ukijibu hayo tutaenda sawa
Ccm imepalilia uongo kila mara.hata wizi wa hela za Escrow walisema sio hela za walipa kodi.kila jambo wanakanusha.kwa imani yangu tukio la Loliondo ni ukweli mtupu kwani kampuni yenye kibali cha kuwinda ndio inayobeba wanyama wetu.Aliyekanusha aje atuambie pori tengefu la Loliondo ameuziwa nani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.