Kwa kipindi hiki cha kampeni nimekuwa nikijifunza siku hadi siku zinavyozidi kusonga. ilifika kipindi nilikuwa nikisikiliza sana mitaani watu wanaema, ambapo nilpata kujiaminisha kuwa bado hatjapata mtu sahihi
kwa sasa nimekiri macho yangu yalikuwa na haraka.
kila ninapomsikiliza Dr. Magufuli JPM namuona Raisi wa Tanzania.
Amehutubia leo ktk maelefu ya watu wa Singida na kutoa rai kali sana kama kunawapiga dili kwenye chama na serikali.
Huku akisisitiza kuwa Tanzania tunamudu kujiongoza kwa kuwa na mahitaji yote hatika makundi endapo tu MFUMO WA RUSHWA UTAKOMESHWA NCHINI
kwa sasa nimekiri macho yangu yalikuwa na haraka.
kila ninapomsikiliza Dr. Magufuli JPM namuona Raisi wa Tanzania.
Amehutubia leo ktk maelefu ya watu wa Singida na kutoa rai kali sana kama kunawapiga dili kwenye chama na serikali.
Huku akisisitiza kuwa Tanzania tunamudu kujiongoza kwa kuwa na mahitaji yote hatika makundi endapo tu MFUMO WA RUSHWA UTAKOMESHWA NCHINI