Dk. Slaa na Zitto kupanda jukwaa moja

Dk. Slaa na Zitto kupanda jukwaa moja

Dr slaam anapanda jukwaani kuanika nguo alizotupiwa na mkewe?
 
Lowassa na Sumaye wana sifa zinazofanana na zile zile za watanzania wapenda mabadiliko, wanaoichukia CCM na kazi zake zote za kishetani! Huwezi kuwafananisha na hao Zitto na Dr.W.Slaa ambao wamejipambanua kama wapinga mabadiliko na Tanzania yote inawafahamu kama vibaraka wa CCM.

Mbona hupambanui hayo mabadiliko? Dr.Makufuri yeye anataka kuleta mabadiliko ya kimaendeleo, UKAWA wao wanataka mabadiliko ya kubalidili chama. Ni vema kuwa wazi ili wapiga kura watambue hivyo, ss naona mnajitahidi sana kufichaficha hayo mabadiliko kama ni ajenda ya kimyakimya!
 
Last edited by a moderator:
Hili litakuwa ni pigo kubwa kwa wapinzani.

Hongera sana CCM kwa kuwapata wasasiasa hawa mahiri na wabinafsi.

...hongera ccm kwa kuwapata wanasiasa hawa wabinafsi; yes..
...zitto - ndo ana akili kuliko wote kwenye chama,ndio maana anawasaidia kufikiria, maamuzi yake ndio final.
...slaa - ntk lowassa aje na wabunge 50, if not asije,au km akija naondoka...!!
Hakika; hongera ccm kwa kuwapata hao wanasiasa "mahiri".
 
MUSSA ALLAN

Maneno yako yana ushawishi kiasi fulani. Tupe maelezo ya kina mabadiliko watakayo yaleta hao wawili wakati walikuwa madarakani muda mrefu tu (miaka 13 kwa pamoja) kama Mawaziri Wakuu, kwenye Serikali ya CCM na kazi zake zote za kishetani! Au una mhemko tu! Au Mungu kawashushia ghafla karama za uongozi bora kwa kuwa wamekihama chama kilichowapa umaarufu wanaojivunia sasa!

TAFAKARI CHUKUA HATUA
 
Last edited by a moderator:
mbona yule first lady alisema hawana shida na siasa na kwa sasa wamepta mpunga mwingi kutoka kwa wafadhili wao waliowatuma kuvuruga upinzani
hivi marekani wamenanza lini kula mihogo?
 
katika siku zote leo brother mussa allan ndio umezungumza point,watanzania sasa wamechoshwa na ccm,wanataka mabadiliko haijalishi nani anagombea kupitia ukawa,hata kama ni bata na magufuli wanagombea urais.watanzania wa sasa watampa bata

pumbavu unazungumzia watanzania wapi sema wewe utampa bata sio watanzania
 
Last edited by a moderator:
Je wanavhama wa ACT waliotoka Chadema wataanza kumsifia Silaa auitakuwaje? Tutayaona yaleyale amabayo yanawapata wana chadema kwa Lowassa! Maajabu ya siasa za Tanzania
 
Lowassa na Sumaye wana sifa zinazofanana na zile zile za watanzania wapenda mabadiliko, wanaoichukia CCM na kazi zake zote za kishetani! Huwezi kuwafananisha na hao Zitto na Dr.W.Slaa ambao wamejipambanua kama wapinga mabadiliko na Tanzania yote inawafahamu kama vibaraka wa CCM.

Kuna sehemu za kupitishia mabadiliko, lakini sio kwa ziro na hilo fisadi papa
 
Tanzania ni Nchi ya ajabu sana. Hata waungane wote, wake zao, wapenzi wao, Lowasa ndo our next president. Na ndo wanazidi kutupa hasira.
Slaa ni hajitambui nampa pole tu mzee wangu kazeeka vibaya sana
 
Mbona hupambanui hayo mabadiliko? Dr.Makufuri yeye anataka kuleta mabadiliko ya kimaendeleo, UKAWA wao wanataka mabadiliko ya kubalidili chama. Ni vema kuwa wazi ili wapiga kura watambue hivyo, ss naona mnajitahidi sana kufichaficha hayo mabadiliko kama ni ajenda ya kimyakimya!

Tumia Basi Akili Zako Mkuu. Unajidhalilisha Sana Kudhani Magufuli Ataweza Kuibadilisha Tanzania Ambayo Chama Kile Kile Sera Zile Zile, Ambazo Zimeshindwa Kufanya Kitu kwa miaka 50?

Uwezi kusafiri Kwa usafiri wa Kiforokobe. Utegemee utafika Kwa wakati. ccm Imechoka Haifai ipumzike.

Kije Chama Chenye Mtazamo Mbadala, kwa Maendeleo ya Taifa, wale wote Wanaopingana na Mabadiliko basi Watu hao wameridhika na umaskini wa nchi hii chini ya chama cha mapinduzi.
 
Kweli siasa mchezo mchafu huyo dr slaa si alisema ameachana na siasa kweli anatamaa kama mzee fisi,vp dr zimeisha zile kwa ushauri wangu ni bora ungendelea kukaa kimya maana saa hv ndo ukuja kujizalilisha kukaa jukwaa moja na mtu uliyemtuhumu ni msaliti na kumfukuzwa uwanachama tena ukiwa kama boss wake leo yeye huko alipo ni boss so ushauri wangu dr kaa kimya.

Kama vile Tundu Lisu Mbowe walivyokuwa wanamkashifu lowasa na mr zero leo wanakula meza mmoja na kucheka ndio slaa na zito
 
Dr slaa hawezi akapanda jukwaa moja na mtu ambaye aliyemuita msaliti.

Lakini sumaye anapanda jukwaa moja na mtu aliyemwita fisadi na kuahidi iwapo angepitishwa na ccm kugombea urais angehama. matokeo yake yeye ndo kamfuata huyo fisadi alikohamia. Na sio huyo tu hata mbowe alisema lowassa nani anamtaka kwa kudai ni bubu hawezi kuongea of course kitu ambacho ni kweli lowassa hawezi kuongea lakini kabla, mbowe alimkataa. Lakini tunaona kila leo yuko naye kwenye kampeni. Ndio maana tunaambiwa unaposema usimalize yote
 
Back
Top Bottom