CCM Lowassa tukutane hapa

CCM Lowassa tukutane hapa

Labda alimaanisha yule Mr Kidevu anayepiga push up wakati makalio kayaweka juuuu,jamaa mmoja hivi utakuwa unamjua alisema Saddam Hussein alikuwa raisi wa Kuwait. Ccm out
Nimecheka mbavu sina !!!! Haha haha haha kwani unaweza kupiga push up makalia yakiwa chini !!!!???
 
Tutawachagua Ukawa ili ccm wawe polisi wazuri wa mali ya umma,watatulindia kwani 2anaujua wizi wote!
 
Nimecheka mbavu sina !!!! Haha haha haha kwani unaweza kupiga push up makalia yakiwa chini !!!!???

Push ups hazipigwi hivi hivi


imagejpeg


Bali zinapigwa hivi


imagejpeg
 
Sorry kwa picha za hapo juu,Obama anapiga push ups maana mwili wake umenyooka,lakini Mr Kidevu sijui anafanya nini maana makalio kayaweka juuuuuuu
 

Attachments

  • 1443581473457.jpg
    1443581473457.jpg
    45.2 KB · Views: 242
  • 1443581487170.jpg
    1443581487170.jpg
    54.7 KB · Views: 236
Cheki alivosambaza miguu!
Anahatari huyu ! Push ups unabana miguu then go straight!
Yeye makalio juu na kasambaza miguu! Duuuuh!
 
Mimi nitaama Ccm rasmi kwny operation ya toroka uje..
 
Utampigia mwenyewe, wenye akili timamu tunampigia Dr.Makuri

Huo utimamu wa akili yako nao ni tatizo! Kwani hata kuandika kwako kunaonesha how Lusinde bin Prof Maji Marefu you are.
 
Back
Top Bottom