Recent content by Skin7

  1. Skin7

    Nchi inaelekea kuwa ngumu sana kwa Rais Samia kuanzia sasa na baada ya 2025

    Hakuna kazi isiyo na changamoto, Tunapishana uelewa wa mambo tu, kuhusu upigaji ni hulka ya watu na hili lipo katika zama zote, sio makanisani wala misikitini wapigaji wapo Tuzidi kuwaombea viongozi wetu ili watuvushe salama
  2. Skin7

    Maulizo juu ya ajira mpya 2020

    WAZIRI WA TAMISEMI MHESHIMIWA SULEIMAN JAFO AMESEMA. MAOMBI HAYO YATAANZA TAR 7 SEPTEMBER 2020 JUMA TATU KWA NJIA YA MTANDAO
  3. Skin7

    Ijue historia ya mgogoro kati ya Iran na Marekani

    Nice Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Skin7

    Tangazo la madereva 400

    Huenda wenzangu waliitwa ili nijue tu Kama bado nijue Sio kwa ubaya
  5. Skin7

    Tangazo la madereva 400

    Wakuu kama kuna yeyote aliyeitwa katika usaili wa Madereva. Tangazo liliripoti nafasi 400, Kuna ndugu yangu ali-Apply Dogo ananisumbua saana Vipi, kuna ambao waliitwa? Kama yupo anayefahanu anijuze waungwana
  6. Skin7

    Rufiji, Pwani: Watu watano wafariki katika ajali baada ya magari mawili kugongana

    Inna lillah wa inna ilayh rajiun Daaah haya majanga ni mengi sana now days Muumba tupe mwisho mwema Nyuma yao mbele yetu
  7. Skin7

    Mwanamke auawa kikatili, akutwa uchi/polisi wafunguka

    Daaah Inssikitisha saana Now days ni bora ukutane na mnyama kuliko binadamu nyakati za usiku
  8. Skin7

    Kagera: Kimondo chadaiwa kudondoka Bukoba

    Mungu awape salama na amani
  9. Skin7

    Kagera: Kimondo chadaiwa kudondoka Bukoba

    Hakijaleta madhara? PICHA please
  10. Skin7

    Omog anataka kuiletea Simba SC mpasuko, mgogoro na kuamsha fitna

    Daah Mpasuko wake utaigharim simba kwa muda mrefu saana Ngoja tuone lakini [emoji16] [emoji16] Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Skin7

    YAPIME MACHO YAKO JE KWELI YANAFANYA KAZI?

    38 Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Skin7

    YAPIME MACHO YAKO JE KWELI YANAFANYA KAZI?

    Hhhhhhhhh Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom