Hakuna kazi isiyo na changamoto, Tunapishana uelewa wa mambo tu, kuhusu upigaji ni hulka ya watu na hili lipo katika zama zote, sio makanisani wala misikitini wapigaji wapo
Tuzidi kuwaombea viongozi wetu ili watuvushe salama
Wakuu kama kuna yeyote aliyeitwa katika usaili wa Madereva.
Tangazo liliripoti nafasi 400,
Kuna ndugu yangu ali-Apply
Dogo ananisumbua saana
Vipi, kuna ambao waliitwa?
Kama yupo anayefahanu anijuze waungwana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.