Maulizo juu ya ajira mpya 2020

Maulizo juu ya ajira mpya 2020

Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
Ametangaza, Vyeo Vipo Vingi, Kazi Nyingi
 
Nmeona Clip ya Mh.Jafo akisema kuanzia j3 ya Tar 7 watafungua dirisha la kufanya maombi Tamisemi,na watu wataanza rasimi kuomba hyo j3
 
WAZIRI WA TAMISEMI MHESHIMIWA SULEIMAN JAFO AMESEMA. MAOMBI HAYO YATAANZA TAR 7 SEPTEMBER 2020 JUMA TATU KWA NJIA YA MTANDAO

 
Nimatumaini yangu hujambo na karibu;

Nimemsikia Dr. Magufuli akisema kuna zaidi ya ajira mpya 13elfu(kada ya ualimu, msingi na Sekondari), na ukweli ni taarifa mpya kwangu.

So kama kuna kiongozi yeyote hapa mwenye uelewa na hili tafadhali tudadafulie..

Ahsante,

JF 4 lifee

#magema jr
Pitia huo uzi mkuu...

MAELEKEZO AJIRA ZA WALIMU
 
Wakuu naombeni link ya ku apply ajira mpya za ualimu. Nahitaji kuomba nami nijaribu bahati yangu.
 
Back
Top Bottom