Mimi alinipigia demu fulani mida ya saa sita usiku akaniuliza hivyo hivyo, 'umelala'? Nikamjibu hapana nipo nje naota jua! Akakata simu! Napenda watoto lakini sipendi utoto.
Ukiwa Na Ardhi Ndogo Halafu Uchumi Unaeleweka Na Idadi Ya Watu Ni Kubwa, Lazama Utajenga Kuelekea Juu! Sisi Tuna Ardhi Ya Kutosha Na Watu Ni Wachache Tu, Magorofa Ya Nini? Hayo Yaliyojengwa Na Akina Mkapa Na Jk Yanatosha Kwa Sasa, Wacha Tujenge Tusivyo Navyo Na Ni Vya Muhimu. (fly Over, Reli...
Pole Ndg. Anyway, Kwakuwa Umeshakubali Kufa Na Kuamini Kuwa Baada Ya Miezi 4 Hutakuwepo Tena Kwny Huu Ulimwengu, Je Umejiandaaje? Unajua Unaenda Wapi? (kuna Sehemu Mbili Tu Za Kwenda, Mbinguni Au Kuzimu) Je Wanafamilia Unawaachaje? Nauliza Hivyo B'coz Tayari Ww Mwenzetu Umebahatika Kujua Unakufa...
Nahisi Utafiti Haujakamilika! Je Zile Hewa Tunazotowaga Kupitia Msamiati Wa Trump(shit Hole) Walishawahi Kupima Na Kujuwa Ktk Maisha Yote Ya Mwanadamu Ni Sawa Na Mitungi Mingapi Ya Gesi? Je Ile Harufu Ingesindikwa Na Hewa Yake Hiyo Kwa Miaka 20 Labda Lingekuwa Aina Gani Ya Bomu? Je Tunaponyoa...
Mh! Hiyo No 1, Imetisha!! Swimming Pool Mbili Za Mate Kwa Maisha Yako Yote!! Lkn No, Kwan Maisha Yote Ya Mtu Ni Mda Gn Au Umri Gn? Kuna Wanaoishi Miaka 5, 50, 120 Na Wengine Masaa Tu, Sasa Wao Wametumia Umri Upi Kama Kipimio? Je Hizo S/pool Za Ukubwa Upi! Anyway,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.