Haya ni matumizi mabaya ya simu sijapata kuona

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Jul 29, 2013
10,471
23,744
Simu yangu ina auto call record kina ninapopiga au kupigiwa. Hii call ya jana usiku saa tano na dakika 47 nimeisikiliza zaidi ya mara 3 na imenifikirisha nikaona ni bora niweze share na wadau.

Kumekuwa na matumizi mabaya sana ya simu. Huyu jamaa aliyenipigia ni mtu wa miaka 36, actually ni mdogo kwangu but kwa umri huo sikutegemea angebehave this way.

Mazungumzo yetu:

Yeye : hallo
Mimi: hallo
Yeye:mambo
Mimi: salama
Yeye: mitkasi
Mimi: salama
Yeye: upo poa
Mimi: yes
Yeye: michongo
Mimi: cool
Yeye: kila kitu shwari
Mimi: yeah
Yeye: upo lakini bro
Mimi: yeah
Yeye: umepotea kinoma bro
Mimi: nipo
Yeye: mitikasi
Mimi: cool
Yeye: nipe story
Mimi: sina
Yeye: umelala?
Mimi: yeaah
Yeye: vipi Man United unawaonaje sasa watafika kweli hata nne bora?
Mimi: tutaongea kesho
Yeye: ha ha ha ha...bro safari hii tumewashika pabaya mpaka mumfukuze Ole Sendeka
Mimi: kesho please
Yeye: Man U safari hii mnatukimbia hadi kwenye simu
Mimi:

Nikakata simu. Kiuhalisia nimemvumilia sana nikitaka kujua mwisho wake ungekuaje. Now nimeamua kum-block maana nimeona ni very stupid.

Tutumieni simu zetu vizuri. Unampigia mtu simu saa sita kasoro huna cha kuongea. Why?
 
Si ndio hapo sasa, jamaa anakupigia saa nane usiku unapokea kwa sauti ya usingizi kabisa anakuuliza uko wapi, unamjibu niko home anakuuliza unafanya nini. Mimi nilimwambia nacheza muziki; sipendagi ujinga wa hivyo.
 
Hii thread nayo ya kijinga tu ka huyo rafiki yako uliemblock.....wote naona akili zenu mule mule tu
 
Hapa solution kama hutaki kusumbuliwa ukiwa umelala, kwanza zima simu na utawasha utakapo amka asubuhi,
Pili kama hutaki kuzima simu weka "Airplane mode" kama simu y(z)ako ni smartphone(s) na watakao jaribu kupiga hawata kupata,
Tatu kama hutaki kuzima simu y(z)ako wala kuweka "Airplane mode" basi utatakiwa ku-mute simu ili ikitokea ukishtuka hata usiku wa manane ukute missed calls au sms kama kuna watu waliku-check,
Ungefanya moja ya hivi vitu pengine yasinge kukuta na wala huu uzi usinge kuwepo hapa sasa hivi,
 
Mimi alinipigia demu fulani mida ya saa sita usiku akaniuliza hivyo hivyo, 'umelala'? Nikamjibu hapana nipo nje naota jua! Akakata simu! Napenda watoto lakini sipendi utoto.
 
Simu yangu ina auto call record kina ninapopiga au kupigiwa. Hii call ya jana usiku saa tano na dakika 47 nimeisikiliza zaidi ya mara 3 na imenifikirisha nikaona ni bora niweze share na wadau.

Kumekuwa na matumizi mabaya sana ya simu. Huyu jamaa aliyenipigia ni mtu wa miaka 36, actually ni mdogo kwangu but kwa umri huo sikutegemea angebehave this way.

Mazungumzo yetu:

Yeye : hallo
Mimi: hallo
Yeye:mambo
Mimi: salama
Yeye: mitkasi
Mimi: salama
Yeye: upo poa
Mimi: yes
Yeye: michongo
Mimi: cool
Yeye: kila kitu shwari
Mimi: yeah
Yeye: upo lakini bro
Mimi: yeah
Yeye: umepotea kinoma bro
Mimi: nipo
Yeye: mitikasi
Mimi: cool
Yeye: nipe story
Mimi: sina
Yeye: umelala?
Mimi: yeaah
Yeye: vipi Man United unawaonaje sasa watafika kweli hata nne bora?
Mimi: tutaongea kesho
Yeye: ha ha ha ha...bro safari hii tumewashika pabaya mpaka mumfukuze Ole Sendeka
Mimi: kesho please
Yeye: Man U safari hii mnatukimbia hadi kwenye simu
Mimi:

Nikakata simu. Kiuhalisia nimemvumilia sana nikitaka kujua mwisho wake ungekuaje. Now nimeamua kumblock maana nimeona ni very stupid.

Tutumieni simu zetu vizuri. Unampigia mtu simu saa sita kasoro huna cha kuongea. Why?
Kaka tupo pamoja kwenye ili mie uwa sijibu msg baada kujuliana hali mtu anauliza tna inakuwaje unajibu poa anauliza mambo vp lkn mara nyingi uwa sijibu tna...
 
Si ndio hapo sasa, jamaa anakupigia saa nane usiku unapokea kwa sauti ya usingizi kabisa anakuuliza uko wapi, unamjibu niko home anakuuliza unafanya nini. Mimi nilimwambia nacheza muziki; sipendagi ujinga wa hivyo.
Kulala saa nne kama kuku wa kienyeji ni matumizi mabaya ya siku. Mwanaume unatakiwa ulale saa nane kasoro uamke saa kumi na moja na robo, kulala mapema ni umama. 😀😀😀

(nakutania meen)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom