Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,988
- 22,379
Aaahhh achana nae broo. We closed that alreadyWhy? What is this all about?
Aaahhh achana nae broo. We closed that alreadyWhy? What is this all about?
Mm nikisimama tu kwenye 2nd floor napata kizunguzungu huko kwenye hayo magorofa yataka moyo.
Tumezoea matembe yetu.
Au spika wa bunge
Ila yule jamaa ni mjinga sanaHapo haihitaji kuota ndoto, mtwange jamaa yako wa karibu bakora hadi azimie, utakuwa ushapata sifa moja kwa moja
Kwa sababu ni watu wa hesabu kali na hela yao inawauma.Kwann waingereza huwa hawana majengo marefu?
Ujenzi wa majengo marefu huwa unatokea wakati wa "economic boom" na uchumi ukipoa na ujenzi wa sky scrapper nao unasimama. Hapa Tanzania second term ya Mkapa uchumi uliimarika ndipo majengo kama Mafuta house lililoanza enzi za 2nd term ya Mh. Mwinyi lilimaliziwa na PPF tower na Twin tower za BoT zilijengwa. Enzi za Kikwete mambo yaliendelea kuwa mazuri na majengo yakajengwa mengi tena nchi nzima.
Magufuli term yake ya kwanza inaisha hakuna hata jengo moja refu limejengwa. Yaliyopo marefu na yanayoendelea kumaliziwa yote yalianza enzi ya JK.
Kumbuka Mkapa kwenye utawala wake ndipo lilijengwa jengo refu kuliko yaliyokuwepo na JK akajengwa marefu kuliko ya enzi za Mkapa. Kwa Magufuli hamna ujenzi wowote wa majengo marefu.
CongoJe majengo mafupi zaidi Duniani yanapatikana wapi?
Ahsante mkuu sikujua haya mamboKwa sababu ni watu wa hesabu kali na hela yao inawauma.
1. Majengo haya bima yake inakuwa kubwa mno. Ikija ikitokea watu wamekufa kwa ajali kila kichwa pengine kitatakiwa kilipwe £200,000, utalipa wangapi?
2. Haya majengo maintenance yake ni very expensive
3. Yanakuwa ni security risk kwa terrorists. Unajuwa mpaka leo chini ya ardhi ya UK kuna mabomu yaliyokuwa hayajaripuka kutika WW1 na WW2?
4. Yakizeeka kuyavunja ni gharama pia.
5. Kwa London kuna underground tunnels kwa ajili ya tubes ( trains)
Congo
Tuko bize na vi- wonderUjenzi wa majengo marefu huwa unatokea wakati wa "economic boom" na uchumi ukipoa na ujenzi wa sky scrapper nao unasimama. Hapa Tanzania second term ya Mkapa uchumi uliimarika ndipo majengo kama Mafuta house lililoanza enzi za 2nd term ya Mh. Mwinyi lilimaliziwa na PPF tower na Twin tower za BoT zilijengwa. Enzi za Kikwete mambo yaliendelea kuwa mazuri na majengo yakajengwa mengi tena nchi nzima.
Magufuli term yake ya kwanza inaisha hakuna hata jengo moja refu limejengwa. Yaliyopo marefu na yanayoendelea kumaliziwa yote yalianza enzi ya JK.
Kumbuka Mkapa kwenye utawala wake ndipo lilijengwa jengo refu kuliko yaliyokuwepo na JK akajengwa marefu kuliko ya enzi za Mkapa. Kwa Magufuli hamna ujenzi wowote wa majengo marefu.
We jamaa huu ni ukorofi wa wazi kabisaMwifwa, asante kwa Uzi maridadi kabisa.
Halafu tutafutie na orodha ya dunia ya viongozi mburula kabisa, ambao wanaanza safari ya maili elfu wakati mfukoni wana nauli ya kufika maili moja tu
Majengo mafupi zaidi duniani yanapatikana Tanzania kati ya Dodoma na Singida😂Je majengo mafupi zaidi Duniani yanapatikana wapi?
Majengo mafupi zaidi duniani yanapatikana Tanzania kati ya Dodoma na Singida😂