Haya sasa nenda kamjulishe mkeo kuwa umefungua uzi wa kumhaibisha JF akija hapa akisoma comments za wadau ataona ni jinsi gani mumewe unavyompenda hata umeamua kuomba ushauri juu ya tabia yake, na atakushukuru na kujirekebisha.
Punguza jazba kidogo comrade!! Kwahiyo kwako wewe ukiona jina Abdallah, Athumani au Habiba unafarijika sana ee?!:eek::eek::eek::eek: Dini sio jina shekhe, wapo kina Abdallah wanaishi kama kina John, na wapo kina Andrew wanaishi kama kina Hussein:rolleyes::rolleyes::rolleyes: au hili haulijui...
Source si hiyo hapo juu kijana, au umekalili hako kamsemo ka source!! :eek::eek:
Afu hii ni conspiracy theory, source ni mtoaji wa hiyo theory mwenyewe, sasa kama unategemea kuona source ni BBC, CNN, Fox tv au CCTV basi utasubiri sana:rolleyes:
Mshana jr ombi binafsi.....najua uko packed with massive amount of information and knowledge, uje utoe darasa la freedom fighters na jim crow:rolleyes::rolleyes:
Wana JF nawasalimu.
Kuna uzi mmoja uliwakuletwa humu siku za nyuma kidogo ukielezea matatizo sugu yanayokikumba chuo kikongwe cha UDSM, nyuzi kama hizo ziko nyingi mno humu JF. Na wengi wa wachangiaji wanakiponda sana chuo hiki, wengine wamewai kuwa wanafunzi au hata watumishi pale na wengine...
Kitengo cha propaganda cha sisi-em kiko vizuri, yaani wanajitahidi mno kufunika mambo kwa kutumia mbinu hatari.
Uteuzi huu naona umekuja purposely katika muda huu ili kututoa katika tension ya kutaka kujua lile jina la afisa mstaafu wa BOT anaekula mamilioni ya pesa na pili ili kufanya habari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.