Tunachojaribu kukielewa au kupata picha harisi ya Amani ya Nchi ya Burundi na watu wake kupitia vyombo vya habari kinaweza kikawa tofauti Na chanzo cha matatizo Na malengo ya wahusika.Kamwe mimi siamini au kukubari moja Kwa moja kupitia vyombo vya habari,kama tunavyofaham vyombo hivi vina...
Umenikumbusha mbali saaana! Walambo walambo mjae huku we see eee! Hapo boizia Na kazima lazima wakae mbali.Big up sana kwa Machine Yetu EL,ndo mana ana roho ya ukombozi,Mzuka Wa Milambo bado anaoo.Hapa sasa naamini kua October 25 asubuhi Nchi ipo walambo oyeeeee! Nimkumbuke Mwl Zoma,Katrige n.k.
CCM imeshakua adui wa jamii (Public enemy), mwizi katika jamii ni adui mkubwa sana,ndio maana akikamatwa awe na bahati atafikishwa polisi akiwa hana bahati anaweza kuuawa na wananchi waliochoka kuibiwa mali zao.hilo ni funzo kwa ccm. Imejitengenezea picha mbaya sana kwa jamii, kama itashindwa...
Mpe Kazi Archtect, atakufanyia kazi ya kuchora ramani kulingana na unavyotaka,baada ya hapo ndo calculation ya gharama inafuata.Ningekusaidia kufanya kazi hiyo ila nipo nje ya Dar, ukipenda upate kijana mwenye uzoefu na shughuli hizo nitakusaidia namba zake na mtaongea na kuyamaliza.Mpende...
Ukweli upo palepale,Baba ni mhimu sana kwa mtoto,nadhani bora ukulie kwa baba kuliko kwa mama,ilimradi usikutane na mama wa kambo mkali napo pia waweza poteza kitu. Niliwahi kufuga kuku, wakati kuku anatetea akaja kutaga mayai nikadhani yatazaliwa majogoo mengine.Jogoo nikamlamba kisu wakati...
Tunatakiwa tuweke thread ya Sera za CCM Tangu Mfumo wa vyama Vingi kuanza.Wale wenye kumbukumbu watusaidie.Mimi binafsi naona marudio,hizo zimeendelea kuwa fimbo za kumchapa mpumbavu na Lofa.Wameanza Goli la mkono,wakaenda na kusema ni makapi waliohama CCM,hawakuishia hapo wanaendelea kusema Oil...
Hata Mimi nimeshangaa kuambiwa kua kadi za askari police wameamriwa kukusanya.hii ni kweli na mashuhuda wapo.kikubwa UKAWA ilifanyie Kazi mapema iwezekanavyo.kama ndo maandalizi ya goal la mkono la ccm ili UKAWA tuwatafutie penalt ya haraka sana.ushindi SAA 2 asubuhi Na mapema.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.