Poleni sana makamanda na mungu atie nguvu hasa katika kipindi hiki kilichogubikwa na wingu zito la majonzi bt ukombozi uko karibu
viva chadema viva a-town
dalili ya mvua ni mawingu na dalili ya ukombozi ni misukosuko kama inayomkuta raisi anayeongoza nchi akiwa nje ya ikulu. Dr nakukubali sana keep it up usikate tamaa kwani ukombozi uko mlangoni unabisha hodi tutaendele kukusupport mpaka kielewe na by the time ukiwa magogoni ndo malengo ya...
ndo maana huwa nasema chama pekee teule toka mwenyenzi ni CDM kwani kipo kwa ajiri ya kuwakomboa watz ktk janga la umaskini, ujinga na n.k kwa tamko hili la kamanda LEMA nimeamini chadema ni bahari ya majembe yaliyo na makali yakuweza kumkata fisadi yeyote yule akijitokeza na leo hii tayari...
kaka nimekukubali what u have written is true, but what i advise CHADEMA they should continue with their move cz they used dialogue as a peaceful mean and mr. president accepted their request unfortunately he betrayed CHADEMA so no way CHADEMA go on use peoplez power we behind u. Altercontinua
mi shahidi niliyoyashuhudia ni aibu kwa jk cz kazomewa na umati uliovumiilia jua tulitajia angepata mapokezi mazuri kwa umati uliojitokeza kumbe wanamusubiri wampe vidonge vyake ama kweli siku ya leo jk hataisahau maishani mwake hiyo ndo udsm baana
mi ndo nimaliza kuangalia tarifa ya 20:00 mi c mnafiki bali i will speek da truth CDM are da winner tena watapata ushindi wa kishindo almost 64% na ccm watapata 24% na cuf watapata 8% the rest watagawana zilizobaki
aliyekutuma pamoja na wewe mumengia sehemu ambayo haiwahusu temu hii hatudanganyiki mutaandaa propaganda ambazo zitakula kwenu chama cha mafisadi (ccm) ushindi lazima uende CHADEMA mwenye wivu ajinyonge kama alivyosema ZOMBE kuwa atajinyonga
ukombozi uko karibuni waingereza wanasema true independence is soon coming cz hawa mafisadi wameshaanza kutimuanatimua wamenza na mzee wa mipango ..15 si mbali watz tutakuwa huru na huu ukoloni Mambo leo wa magamba peoplez power is around the corners waiting 4 the initiator!
big waziri kivuri wa Mambo ya ndani ama kweli sijafanya maamuzi mabaya kujiunga na pipoz power Kwani mnipa burudani endeleni kuibana hivyo hivyo serikali ya mafisadi a.k.a. C.C.M Kwani ukombozi uko karibu na nawashauri wajiunge na chama makini chenye uchungu na taifa letu nacho ni CHADEMA big...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.