Hili la Igunga ni doa...!

suley

Member
Aug 24, 2010
53
0
Katika kuelekea uchaguzi mdogo wa jimbo la igunga unaotegemea kufanyika hivi karibuni, kumepelekea kuwepo mikakati mbalimbali inayofanywa na vyama mbalimbali vya siasa katika kuhakikisha kuwa jimbo hili linachukuliwa na kuwa chini ya chama husika.

Kutokana na hulka hiyo CCM imejikuta ikipanga mikakati mbalimbali ya kuhakikisha jimbo hili haliendi kwa wapinzani,na vyama vya upinzani vikiongozwa na CUF na CDM wakijaribu kuling'oa jimbo hili kutoka kwa chama tawala. hivi karibuni nimepata taharifa kuwa kuna mkakati wa chama cha CDM kuleta vijana mia nane (800) ili kusaidia kampeni zinazotarajia kuanza hivi punde ambapo mpaka jana vijana takribani mia tatu walikuwa tayari wameshaingia maeneo mbalimbali ya jimbo hili.

Lakini chenye kutia shaka na doa kubwa ni mkakati halisi wa utendaji kazi wa vijana hao ambao kila mmoja anapokea posho ya shilingi elfu thelasini (30,000) kwa siku, mkakati wao kwa namna nilivyopata kuufahamu kupitia baadhi ya wapasha habari hii ni kuwa haupo kidemokrasia wala hauna nia ya kufuata falsafa ya utii wa sheria na utawala bora kwani mkakati huo unajumuisha kushusha bendera za ccm wakati wa usiku,kuchochea makundi rika wakilengwa vijana katika kuhamasisha vurugu kipindi cha kampeni kwa matumizi ya mabango yenye maneno ya kashfa na matusi ambayo yanaandaliwa hivi sasa, mikakati hii na mingineyo kama hii ni doa katika igunga.

Napenda kutoa angalizo kuwa siasa si uadui wala vurugu, tutumie mikakati inayofuata utaratibu wa kisheria na demokrasia katika mchakato huu wa kutupatia wanaigunga kiongozi bora tumtakae...!
 
katika kuelekea uchaguzi mdogo wa jimbo la igunga unaotegemea kufanyika hivi karibuni, kumepelekea kuwepo mikakati mbalimbali inayofanywa na vyama mbalimbali vya siasa katika kuhakikisha kuwa jimbo hili linachukuliwa na kuwa chini ya chama husika.

Kutokana na hulka hiyo ccm imejikuta ikipanga mikakati mbalimbali ya kuhakikisha jimbo hili haliendi kwa wapinzani,na vyama vya upinzani vikiongozwa na cuf na cdm wakijaribu kuling'oa jimbo hili kutoka kwa chama tawala. Hivi karibuni nimepata taharifa kuwa kuna mkakati wa chama cha cdm kuleta vijana mia nane (800) ili kusaidia kampeni zinazotarajia kuanza hivi punde ambapo mpaka jana vijana takribani mia tatu walikuwa tayari wameshaingia maeneo mbalimbali ya jimbo hili.

Lakini chenye kutia shaka na doa kubwa ni mkakati halisi wa utendaji kazi wa vijana hao ambao kila mmoja anapokea posho ya shilingi elfu thelasini (30,000) kwa siku, mkakati wao kwa namna nilivyopata kuufahamu kupitia baadhi ya wapasha habari hii ni kuwa haupo kidemokrasia wala hauna nia ya kufuata falsafa ya utii wa sheria na utawala bora kwani mkakati huo unajumuisha kushusha bendera za ccm wakati wa usiku,kuchochea makundi rika wakilengwa vijana katika kuhamasisha vurugu kipindi cha kampeni kwa matumizi ya mabango yenye maneno ya kashfa na matusi ambayo yanaandaliwa hivi sasa, mikakati hii na mingineyo kama hii ni doa katika igunga.

Napenda kutoa angalizo kuwa siasa si uadui wala vurugu, tutumie mikakati inayofuata utaratibu wa kisheria na demokrasia katika mchakato huu wa kutupatia wanaigunga kiongozi bora tumtakae...!



labda wewe umetumwa kama sio unafikiri kutumia masaburi kwani nani hajui kuwa hizo ni za ccm kuna vijana shelui wanafanya mazoezi waje wavuruge uchaguzi
hao wa cdm ni lazima viongozi wawepo kuongoza kinachoendelea fikiri kutumia kichwa acha masaburi
 
Katika kuelekea uchaguzi mdogo wa jimbo la igunga unaotegemea kufanyika hivi karibuni, kumepelekea kuwepo mikakati mbalimbali inayofanywa na vyama mbalimbali vya siasa katika kuhakikisha kuwa jimbo hili linachukuliwa na kuwa chini ya chama husika.
Kutokana na hulka hiyo CCM imejikuta ikipanga mikakati mbalimbali ya kuhakikisha jimbo hili haliendi kwa wapinzani,na vyama vya upinzani vikiongozwa na CUF na CDM wakijaribu kuling'oa jimbo hili kutoka kwa chama tawala. hivi karibuni nimepata taharifa kuwa kuna mkakati wa chama cha CDM kuleta vijana mia nane (800) ili kusaidia kampeni zinazotarajia kuanza hivi punde ambapo mpaka jana vijana takribani mia tatu walikuwa tayari wameshaingia maeneo mbalimbali ya jimbo hili.
Lakini chenye kutia shaka na doa kubwa ni mkakati halisi wa utendaji kazi wa vijana hao ambao kila mmoja anapokea posho ya shilingi elfu thelasini (30,000) kwa siku, mkakati wao kwa namna nilivyopata kuufahamu kupitia baadhi ya wapasha habari hii ni kuwa haupo kidemokrasia wala hauna nia ya kufuata falsafa ya utii wa sheria na utawala bora kwani mkakati huo unajumuisha kushusha bendera za ccm wakati wa usiku,kuchochea makundi rika wakilengwa vijana katika kuhamasisha vurugu kipindi cha kampeni kwa matumizi ya mabango yenye maneno ya kashfa na matusi ambayo yanaandaliwa hivi sasa, mikakati hii na mingineyo kama hii ni doa katika igunga.
Napenda kutoa angalizo kuwa siasa si uadui wala vurugu, tutumie mikakati inayofuata utaratibu wa kisheria na demokrasia katika mchakato huu wa kutupatia wanaigunga kiongozi bora tumtakae...!
Huu ni Usongombwingo
 
aliyekutuma pamoja na wewe mumengia sehemu ambayo haiwahusu temu hii hatudanganyiki mutaandaa propaganda ambazo zitakula kwenu chama cha mafisadi (ccm) ushindi lazima uende CHADEMA mwenye wivu ajinyonge kama alivyosema ZOMBE kuwa atajinyonga
 
Nashukuru leo ntapita tena Igunga japokuwa ntakuwa kwenye basi angalau ntanusa harufu ya ushindi wa Chadema!
 
Katika kuelekea uchaguzi mdogo wa jimbo la igunga unaotegemea kufanyika hivi karibuni, kumepelekea kuwepo mikakati mbalimbali inayofanywa na vyama mbalimbali vya siasa katika kuhakikisha kuwa jimbo hili linachukuliwa na kuwa chini ya chama husika.

Kutokana na hulka hiyo CCM imejikuta ikipanga mikakati mbalimbali ya kuhakikisha jimbo hili haliendi kwa wapinzani,na vyama vya upinzani vikiongozwa na CUF na CDM wakijaribu kuling'oa jimbo hili kutoka kwa chama tawala. hivi karibuni nimepata taharifa kuwa kuna mkakati wa chama cha CDM kuleta vijana mia nane (800) ili kusaidia kampeni zinazotarajia kuanza hivi punde ambapo mpaka jana vijana takribani mia tatu walikuwa tayari wameshaingia maeneo mbalimbali ya jimbo hili.

Lakini chenye kutia shaka na doa kubwa ni mkakati halisi wa utendaji kazi wa vijana hao ambao kila mmoja anapokea posho ya shilingi elfu thelasini (30,000) kwa siku, mkakati wao kwa namna nilivyopata kuufahamu kupitia baadhi ya wapasha habari hii ni kuwa haupo kidemokrasia wala hauna nia ya kufuata falsafa ya utii wa sheria na utawala bora kwani mkakati huo unajumuisha kushusha bendera za ccm wakati wa usiku,kuchochea makundi rika wakilengwa vijana katika kuhamasisha vurugu kipindi cha kampeni kwa matumizi ya mabango yenye maneno ya kashfa na matusi ambayo yanaandaliwa hivi sasa, mikakati hii na mingineyo kama hii ni doa katika igunga.

Napenda kutoa angalizo kuwa siasa si uadui wala vurugu, tutumie mikakati inayofuata utaratibu wa kisheria na demokrasia katika mchakato huu wa kutupatia wanaigunga kiongozi bora tumtakae...!
UKOME! UKOME! kutuletea uongo kwenye jukwaa hili la Great Thinkers.
 
Hatimaye tumefika ardhi ya Igunga,barabara kubwa imepambwa na bendera za vyama,Chadema, ccm na cuf.Halafu kumbe office ya Chadema wilaya ipo Barabara kubwa! Safi sana si ngumu hata kumuelekeza mtu.
 
Tatizo la wengi humu wantumia Masaburi au bongo zao ziko kama za kuku hivyo kuwa tayari kuleta porojo za kimkakati za chama cha Mafisimaji, Kiukweli Tanzania ya sasa si ile ya kuambiwa, na kuimbiwa na kelele za kina komba hata ukizidi kushabiakia chama kinachokufa CCM haufaidi lolote zaidi ya kuwa tarishi na kutumika kama kopo la chooni. Unasema CCM wanashinda ni Mtanganyika yupi aliyewahi kuona CCm wanashinda bila Ghiriba tueleze, na Je ni wapi ccm hakijawahi kutumia polisi au watumiwaji kama ww kuleta vurugu kwenye ucaguuzi ili kishinde. TUMIA KICHWA!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom