Jamani,mbona kikwete miaka yote kumi amefanya hivo,aliwateua akina Omar Nundu,prof Makame Mbalawa,Zakhia meghji,Saada mkuya,dr Asharose migiro,dr Mponda na wengine wengi.je,wote hao uliona wakiapa bungeni?si waliapishwa kuwa mawaziri hawajaapa bungeni,mbona hamkuhoji?