miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,821
- 48,976
kweli kabisa .. ila hizi ndoa ni shidaNi kweli maumivu yake si rahisi sana kuyaelezea, na ndio maana pamoja na ushauri wako mzuri kabisa bado atakiwa kuchanganya na akili yake vinginevyo siona kama kuna aina ya ushauri unaoweza kumpa faraja ya haraka. Ni suala la muda tu atulie atafakari na kuchunguza nyendo za mkewe kiasha ajue ni njia ipi sahihi.