Recent content by sirajiathumani

  1. S

    Ally Hassan Mwinyi Rais bora kabisa kuwahi kutokea Tanzania

    Huyu aliyepo anakopa wap kila mtanzania anadaiwa 600000,wakati wa mwinyi tulikuwa tunadaiwa bei gani kila MTZ
  2. S

    Ally Hassan Mwinyi Rais bora kabisa kuwahi kutokea Tanzania

    Hakuna rais aliye wafikiria watu wake kama mwinyi
  3. S

    Hivi wabunge ambao ni wapinzani wana matatizo gani?

    Mbona hutoi sababu za kutoka nje unanungunika au unalalamika?
  4. S

    Sugu Kakurupuka? Je anajenga ama anabomoa?

    Matumizi ya nafasi yako kujinufaisha ndo mfumo Tz
  5. S

    Askari wa usalama barabarani watumie mashine za EFD

    Mm sina gari lakin wamezidi watoza ushuru wa masoko
  6. S

    Tangazo la serikali - mishahara ya Mei ni tar 03/ Juni

    Hiv tazara ni wafanyakazi wa serikali gani mpaka msimwamini mtu wa wilaya ya mbinga tazara wana miezi mitatu
  7. S

    tangazo la zantel linakashifu dini

    Ahahaha kwa simu hii ......
  8. S

    Nimetapeliwa laki moja kwa tamaa zangu mbaya

    Pole kaka hatakaye kucheka hajaja bongo
  9. S

    Je unajua Mawigi na Rasta Zinatoka wapi?

    Bora mke wangu hayumo kundi la kuvaa mawigi
  10. S

    CCM: hatuna haja wala mda kuwabembeleza ukawa

    Ccmoko shingo imeelekezwa kibla kinatafutwa kisu tu
  11. S

    Sheikh mkuu mkoa wa Dar aonya maneno ya Lukuvi kutafsiriwa vibaya

    Msaka tonge tulisha mzoea hakusikitika kukojolewa quruani litakuwa hili la lukuvi
  12. S

    CCM yahoji Serikali ya Umoja Zanzibar

    Acheni kuweweseka ccm mziki unakuja
  13. S

    Nape: UKAWA wapigwe mawe wakienda kwa wananchi

    Nape mzee wa ujamaa wa kisasa haelewi chama chake kinafata mlengo gani heti nae kiongozi
Back
Top Bottom