Zekidon
JF-Expert Member
- May 29, 2013
- 1,903
- 566
- Thread starter
- #41
wallaaaau wakibaru wallaaaaaaaaau wakibaru....Tena saa zingine ni alfajiri watu tumelala na wake zetu tunapigiwa makelele yasiyo na msingi.
mkuu huwa mood inapotea kabisa huwa najiuliza kwanini wasingekua wanapigiana simu Tu kuamshana na hivi sass Kuna vifurushi kibao