Pole sana mkuu. Nakushauri usambaze ujumbe facebook na namba yake ikiwa na caption. Huko watu wanajuana zaidi kuliko hapa JF na nakuhakikishia atajutia sana. Nimewahi kuona kesi nyingi za namna hiyo na hiyo njia ilitatua kwa ufanisi. Voda hawatakupa msaada zaidi ya kuweka deni kwenye namba yake...
Kama madai yenyewe ni ya pesa ndefu ni bora uweke mwanasheria. Ila kama madai yenyewe labda ni milioni moja halafu mwanasheria atake laki3 au 5 hiyo ni hasara mkuu. Tafuta namna ya kudai pasipo kuongeza gharama
Sasahivi naanza kuelewa ni kwanini watu hupotea bila kujulikana walienda wapi. Kuna ndugu zetu au watu tunawafahamu ambao katika maisha huweza kupotea na kutopatikana milele. Kumbe ndo kama hivyo. Unawezakuta mtu ni wa dodoma na alienda huko kutafuta maisha,safari au kumtembelea mtu bila kuaga...
Hilo daraja watumiaji wakubwa ni wachaga. Hivyo wawe na subira kwanza. Tukishamaliza kwa wasukuma, tutaenda sehemu nyingine na mwisho tutamaliImzia huko.
Nilisoma O-level na kijana wa Vicent Lasway. Dogo alikuwa na tambo sana na alituchukulia mademu zetu sana kisa pesa za babayake. Ila tulimvizia weekend usiku kitaa tukampa kichapo cha mbwa koko wakiwa na wenzake wametoka mjini kuelekea camp (Umbwe sec)
Kwani tafsiri yako tunaposema wakoloni ni wale waliotutawala tuu? i.e Waingereza na Wajerumani na Waarabu? Kwakukuongezea nikwamba kabla ya hao wakoloni tulikuwa hatujui PESA, NGUO, (tulivaa ngozi na magome ya miti), KUSOMA NA KUANDIKA etc. Yapo mengi ambayo ni matokeo ya hao wakaloni. Sasa kila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.