Duniani tunaishi muda mfupi sana

Duniani tunaishi muda mfupi sana

Shukrani sana mkuu 👏
Love is enough to get everthing done.
38864880_10216473083602411_1354719954598887424_n.jpg
 
Habari,
Je unajua kwamba duniani tunaishi muda mfupi sana? fikiria hivi, mwaka mmoja ni siku 365, miaka 10 ni siku 3650 na miaka 100 ni siku 36,500 tu...

Kama miaka 100 ni siku elfu thelathini na sita na mia tano, na wengi wetu hatutofika umri huo, hii ina maana kwamba wengi wetu humu hatutoishi siku 36,500.

Huu ndio ukweli,

Duniani ni sehemu ya kuishi muda mfupi sana hivyo tujitahidi kufanya mambo mema ya kumpendeza Mwenyezi Mungu.

Ahsante...
Si wanasema wema hawadumu? Hivyo heri uwe na roho mbaya tu ili angalau uishi muda mrefu kidogo. Yaani "udumu dumupo".
 
Muda ni Mfupi yani mfupi mfupi sana,

Kuna mtu Robin sharma aliwahi kuandika tunapozaliwa unalia huku ulimwengu unafurahia so yatupasa kuishi maisha ambayo tutapokufa tufurahie huku ulimwengu ukilia
Ujumbe mzuri sana huu
 
Habari,
Je unajua kwamba duniani tunaishi muda mfupi sana? fikiria hivi, mwaka mmoja ni siku 365, miaka 10 ni siku 3650 na miaka 100 ni siku 36,500 tu...

Kama miaka 100 ni siku elfu thelathini na sita na mia tano, na wengi wetu hatutofika umri huo, hii ina maana kwamba wengi wetu humu hatutoishi siku 36,500.

Huu ndio ukweli,

Duniani ni sehemu ya kuishi muda mfupi sana hivyo tujitahidi kufanya mambo mema ya kumpendeza Mwenyezi Mungu.

Ahsante...
Kama yapi?
 
Back
Top Bottom