Kasinja jr
JF-Expert Member
- Aug 4, 2017
- 1,034
- 1,792
Habari zenu wazima wakuu?
Nina umri wa miaka 29 nimepata mchumba Ana miaka 20, hii imekaaje kabla sijaendelea na hatua nyingine,
Je kuna madhara ya kumuoa msichana wa umri uo?
Pili kwa waliona uzoefu waliwahi kuoa wa umri huo je wanayamudu majukumu ya family?
Naomba ufunguke itanisaidia sana hii
Nina umri wa miaka 29 nimepata mchumba Ana miaka 20, hii imekaaje kabla sijaendelea na hatua nyingine,
Je kuna madhara ya kumuoa msichana wa umri uo?
Pili kwa waliona uzoefu waliwahi kuoa wa umri huo je wanayamudu majukumu ya family?
Naomba ufunguke itanisaidia sana hii