kweli kila mtu atatoa ya moyoni kwa wakati wake, kumbe tunaoumia hii inchi ni wengi ila muda wa kusema ndo tunapishana tu, kweli watu wamejawa na ujasiri sasa hawaogopi kusema yanayowasibu mioyoni mwao
kweli kila mtu atatoa ya moyoni kwa wakati wake, kumbe tunaoumia hii inchi ni wengi ila muda wa kusema ndo tunapishana tu, kweli watu wamejawa na ujasiri sasa hawaogopi kusema yanayowasibu mioyoni mwao
siku zote mpumbavu huangalia jambo lililo na furusa kwake ila yenye furusa kwa wengine kwake ni takataka, nawe ni mmoja ya wapumbavu tena katika kiwango cha lami
hiv kipind rais anaomba kuombewa hakujua kama na sisi tuna ndugu na jamaa ambao walikuwa maospitalini mbona mulikusanyika viwanjani...
kaka kabla hujamkosoa mwenzako nawe jitafakari kwanza, kwani wewe ulichoandika ni cha maana kwa watanzania kuliko alicholeta mtoa mada, mambo mengine ni ufirisi wa mawazo na kushikiliwa kwa ufahamu na mapenzi ya vyama kaka
kaka ni vyma ukahifadhi akiba ya maneno katika mambo ambayo yamejeruhi mioyo ya watu, unaandika ukijua kuwa utaonekana nawe umehoji jambo la maana kwa walio upande wako wa lumumba, nani kakwambia kuwa walioko huko nao wanatumia pesa za msaada, kwani hata huyo nyarandu nae kwa sababu kafika huko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.