Kama ni kweli askofu Kakobe alisema ana hela zaidi ya serikali na akamaanisha hivyo, basi anaweza kufananishwa na yule aliyesema serikali yote ya rais Nyerere ilikuwa mfukoni mwake. Nyerere akasema huyo ni mshenzi sana muwekeni ndani. Baada ya kuombewa msamaha na watu maarufu nchini na duniani, ndipo rais akaamua kumwachia na kumfukuza nchini.
Je? Historia inaweza ikajirudia na askofu Kakobe akapitishwa katika njia hizi?
Je? Historia inaweza ikajirudia na askofu Kakobe akapitishwa katika njia hizi?