Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,137
- 48,808
Nibora wangelikuwa wapuuzi hata Mia 7
Walau sasa huyo Lissu awe zaidi ya Rais kweli!
Ndio, TL ni zaidi ya Ccm.
Nibora wangelikuwa wapuuzi hata Mia 7
Walau sasa huyo Lissu awe zaidi ya Rais kweli!
Mmeamua kufunguka,na bado,hadi mjitaje kwa majina hadharaniHuwezi shindana na SERIKALI yoyote duniani ukafanikiwa,mbaya zaidi serikali ya Tanzania,kilichomponza Lissu ni kutafuta sifa na kuwafurahisha baadhi ya watu,ndo hicho hicho kilichowaponza MWANAHALISI tofauti ni kuwa mwanahalisi wali target pia mauzo makubwa,mwisho wa siku nani anaumia???
Shida yahawa watu sijui hata Waelezwe vipiHapo ndo mnapoanzia kujidanganya,mnadhani wananchi wengi wapo nyuma ya CHADEMA na Kubenea,juzi jumapili kuna watu waliprint t-shirt kibao za PRAY 4LISSU,wakidhani wangeuza hata 100,waliishia kuuza tshirt 3 au 4 tu.Wafuasi na uma mnaousemea umebaki JF tu.Mtaani watu wapo bize na kupambana na hali zao,kujipatia kipato.
Hawa ndio hata husema huwezi kushindana na mwajiri huku wakilalamika mwajiri anawanyanyasa. PambafAkili ya kulewa madaraka na kujiona nyinyi ni miungu watu!!
Toka ndani ya box ndugu uje uone na wengine wanaishije usiishie kolomije tuHuwezi shindana na SERIKALI yoyote duniani ukafanikiwa,mbaya zaidi serikali ya Tanzania,kilichomponza Lissu ni kutafuta sifa na kuwafurahisha baadhi ya watu,ndo hicho hicho kilichowaponza MWANAHALISI tofauti ni kuwa mwanahalisi wali target pia mauzo makubwa,mwisho wa siku nani anaumia???
Sio wewe Unahitaji hurumaNdio, TL ni zaidi ya Ccm.
Sio wewe Unahitaji huruma
Na unapoanza kumwambia huyo huyo baba yako,ukiwatangazia ndugu zako kuwa Tuna baba wa Hovyo hovyo,na uongozi wa hovyo wa familia.Unategemea nini?,ndo nidhamu.Na unapoomba mbele za media familia yenu itengwe na marafiki zenu,msipewe msaada wowote ndo kumkosoa baba yako?,, mtakataa siku zote,ila yule chizi wenu alizidiwa na kitu kinaitwa MUCH KNOW,ndo maana pamoja na kufatiliwa na gari muda mrefu,akijifanya MUCH KNOW hakuona umuhimu wa kwenda polisi kuripoti kwa dharau,matokeo yake anapumulia mipira.Na anaweza kuwa kitandani hata mwaka mzima.Unapomwambia baba yako hapa tusifanye hivi,tufanye vile ni kushindana naye? Kuna serikali yoyote ile duniani isiyoambiwa/isiyokosolewa inapokosea? Hii nchi ni yetu,Watanzania. Serikali ni yetu na ni sisi.
Kabisa nduguHuwezi shindana na SERIKALI yoyote duniani ukafanikiwa,mbaya zaidi serikali ya Tanzania,kilichomponza Lissu ni kutafuta sifa na kuwafurahisha baadhi ya watu,ndo hicho hicho kilichowaponza MWANAHALISI tofauti ni kuwa mwanahalisi wali target pia mauzo makubwa,mwisho wa siku nani anaumia???
Huo Werevu wake una faida gani Kama kashindwa kupambana na Umaskini wake!Heri maskini mwerevu kuliko tajiri mpumbavu!
Na unapoanza kumwambia huyo huyo baba yako,ukiwatangazia ndugu zako kuwa Tuna baba wa Hovyo hovyo,na uongozi wa hovyo wa familia.Unategemea nini?,ndo nidhamu.Na unapoomba mbele za media familia yenu itengwe na marafiki zenu,msipewe msaada wowote ndo kumkosoa baba yako?,, mtakataa siku zote,ila yule chizi wenu alizidiwa na kitu kinaitwa MUCH KNOW,ndo maana pamoja na kufatiliwa na gari muda mrefu,akijifanya MUCH KNOW hakuona umuhimu wa kwenda polisi kuripoti kwa dharau,matokeo yake anapumulia mipira.Na anaweza kuwa kitandani hata mwaka mzima.
Ambacho CDM hamuelewi ni kuwa sote tunamuomba Mungu mmoja tu huyo huyo,ila tatizo ni kuwa mnamchagulia Mungu asikilize maombi ya nani?,na mnaamini maombi yenu yanasikilizwa ila ya wengine hayasikilizwi.Huu naweza kuuita ubinafsi uliopitiliza au kutokuelewa mambo ya dini.Mungu pekee ndo anayejua namna ya kujibu maombi,sio CCM au CDM.basi shindana na mungu
Hasara anaileta huyo Anaye tumia milioni 10 kwa siku kama sio upuuziKama kawaida uchara anazidi kulitia taifa hasara kwa kesi serikali ikishindwa..
Hivi mwanahari walishalipwa fidia ya kipindi cha kikwete?
Umekalia Msumari HahahaKama wewe na akiekutuma.
nawe ni mmoja wa wale wanaounga mkono haya ya serikali siyo? kweli tanzania tunayo kaziHuwezi shindana na SERIKALI yoyote duniani ukafanikiwa,mbaya zaidi serikali ya Tanzania,kilichomponza Lissu ni kutafuta sifa na kuwafurahisha baadhi ya watu,ndo hicho hicho kilichowaponza MWANAHALISI tofauti ni kuwa mwanahalisi wali target pia mauzo makubwa,mwisho wa siku nani anaumia???
Nelson Mandela ni vita ya ukombozi wa ubaguzi wa rangi,muache kuwa mnafananisha Mandela na vitu vya kijinga.Mandela hakuwahi kuwa ndumilakuwili kama hawa jamaa zenu wasiojua wanapigania nini?,kama unajua historia ya South Africa utanielewa,ila mtu yeyote anayeielewa South Africa au umewahi kuishi huko huwezi leta mifano ya Mandela hapa.Hawa ni wachumia tumbo tu.Na hili linadhihirishwa na kumkumbatia Lowassa,ni somo tosha tu kuwa sio watu wa kucheka nao hata dakika moja.Hivi Nelson Mandela alikua anapambana na yanga fc?