Recent content by sir kobe

  1. S

    JamiiForums Tanzania Mafunzo ya RC Gambo kwa Halmashauri Kuu ya CCM Mkoa Arusha yaingia shubiri

    Waheshimiwa sana wajumbe wa Halmashauri Kuu ya chama pendwa ccm Mkoa Arusha Wasalaam!. Nachelea kuwapongeza kwa nidhamu yenu ya uoga, kuleta mambo yenu ya ndani nje na kushindwa kujitambua mnapaswa kufanya nini hasa mambo kama hayo yanapotokea! sisi wengine tunaweza kuhisi ni malalamiko yalojaa...
  2. S

    JamiiForums Tanzania Sudan: Baraza la mpito limekubali kumkabidhi Rais wa zamani Omar al Bashir kwa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC)

    Haya mambo ni watu wachache sana wanayatambua jinsi yanavyopaswa kuwa! wengi wanakurupuka tu bila uelewa!
  3. S

    JamiiForums Tanzania Kwenye siasa hata mpiga kura mmoja ana veto sana, puuzeni tu ya JF

    Haya sawa!
  4. S

    JamiiForums Tanzania DAR: Zitto Kabwe ameachiwa kwa dhamana, ametuhumiwa kuvunja sheria ya makosa ya mtandao na kutoa takwimu za uongo

    Katika hali isiyo ya kawaida, Mwanasiasa machachali Ndugu Zitto Kabwe Anakamatwa Katka Mazingira Ya Kufanya Kampeni Kijichi! Hii ni dalili mbaya sana kuelekea uchaguzi mkuu 2020! Hii inamaanisha wapinzani wafanye kampeni za kukisifia chama tawala! vinginevyo watakamatwa kila kukicha, maana yapo...
  5. S

    JamiiForums Tanzania Mbunge Joseph Msukuma simuelewi, Ona anavyozungumzia faida ya bunge kutokurushwa "live"

    Akili zingine ni jipu tuu! Mbunge huyu inaonesha hata hana mpango wa ku-fight wananchi wake wapate umeme! yupo bungeni kufurahia kufanya mambo gizani!
  6. S

    JamiiForums Tanzania Mbunge Joseph Msukuma simuelewi, Ona anavyozungumzia faida ya bunge kutokurushwa "live"

    Akili zingine ni jipu tuu! Mbunge huyu inaonesha hata hana mpango wa ku-fight wananchi wake wapate umeme! yupo bungeni kufurahia kufanya mambo gizani! daah shetwani ni shetwani tuu!
  7. S

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli unawatesa walinzi wako

    Be open but not naked...! haiwezekani Rais aseme malengo yake yote ya kufanya hivyo! zaidi yeye anasema tumuombee kwa Mungu ili amlinde na atutumikie watz! Binadam tuna maneno mno hats angefanyaje tungesema tu! ooh kila Siku anasafiri na ndege! teh teh ...!
  8. S

    JamiiForums Tanzania Kama sio udikteta, Mhe. Rais futilia mbali utawala wa sheria, ongoza kwa 'presidential decrees'!

    Well said Mkuu! hawa jamaa wanaoguswa inawauma sana! sasa nadhani wanatafuta public influence! na Mr president bora asitoke nje maana atakuja kukuta nchi wameshamnyang'anya!akomaewatu wafanye kazi badala ya kupiga dili!
  9. S

    JamiiForums Tanzania TANZIA: Mzee Newe Derefa, Mbunge wa zamani Shinyanga mjini, Afariki

    Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi! Amina!
  10. S

    JamiiForums Tanzania Kingunge akerwa, akemea yanayoendelea ndani ya CCM

    Sikio la kufa halisikii dawa na babu seya mwaka hub atakuwa uraiani maana miakamitatu haiendani na bill 11!
  11. S

    JamiiForums Tanzania Naombeni msaada, kuhusu barua ya kuthibitishwa kazini na namba ya TSD

    Kimsingi ili uweze kupata baarua ya kuthibitishwa kazini ni mpaka pale utakapokuwa umekamilisha mwaka mmoja kazini! lakn kwa upande wa tsd si lazma ufikishe mwaka 1, ila kwa maeleza zaidi nenda ofisi ya tsd wilaya watakupa maelekezo zaid! kuhusu kupata mkopo nmb, ni kweli kwa sasa masharti...
  12. S

    JamiiForums Tanzania Yaliyojiri Bungeni: Ijumaa, 28 Novemba 2014 (Hatma ya Sakata la Tegeta Escrow Account)

    TANZANIA TANZANIA NCHI YANGU...!! Kama kweli watu walioaminiwa na wananchi wanaanza kuwaibia wananchi! where are we heading!?, katika swala la msingi na la maana kama hili,tukiweka uanachama mbele tunapotea!, kama mwiz amekamatwa na amethibitika,kulikon kuanza kujadiriana huyu mwizi badala ya...
  13. S

    JamiiForums Tanzania Mwigulu, Mnyika, Zitto, Mdee na Silinde waweza leta sura mpya sakata la Escrow leo Bungeni

    Uko sawa kabisa! lakn nadhan huenda akatumia nafasi hiyo kujiosha na kumnyonga pinda, maana na yeye yuko kwenye kuusaka u-raisi! Lakn hoja ya msing ni ni pesa yangu irudi na watuhumiwa wafikishwe mahakamani! Rais kesho atakuwepo nchini sasa cjui atawaambia nin watanyania kwenye hotuba ya mwisho...
  14. S

    JamiiForums Tanzania Tahadhari kutoka Utumishi kuhusu Utapeli wa Ajira na Mikopo

    Sasa mbona hujaweka link yao! tupia watu tuione!
  15. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Niuze mme wangu kwa mzungu?

    Tunamshauri huyu mdada au tunaijadiri ccm! kama tunashindwa kujenga hoja vzr basi tubadili maada tuijadili ccm! lakn wakat tukjadl hayo tukumbuke kutaja chama mbadala wa ccm ila isiwe saccos ya mtei! ME NADHANI MMEO AKUAMBIE TU KAMA KAKUTOSA KULIKO KUOMBA LIKIZO ISIYO NA MALIPO ILI YAKIMSHINDA...
Back
Top Bottom