TANZANIA TANZANIA NCHI YANGU...!!
Kama kweli watu walioaminiwa na wananchi wanaanza kuwaibia wananchi! where are we heading!?, katika swala la msingi na la maana kama hili,tukiweka uanachama mbele tunapotea!, kama mwiz amekamatwa na amethibitika,kulikon kuanza kujadiriana huyu mwizi badala ya sheria kuchukua mkondo wake! lakn kibaya zaid ni waz hawa watu wanajua hawawez kuchukuliwa hatua za kisheria kwa kuwa serikali yote imepata mgao!, mwiz wa kuku akikamatwa hamaliz hata masaa kadhaa wananchi wanamalzana naye! iweje hawa wez wa mabilion ya wananchi tunajadiriana nao!, sasa napata picha sababu ya kipengere cha mamlaka ya wananchi kumwajibisha kiongoz wao kuondolewa!, ipo minong'ono watu wakisema eti imeondolewa kwakuwa wataiweka kwenye sheria ndogondogo! watanzania wenzangu bila kujali itikad zetu,chondechonde maandamano yanahtajika ili kurudisha pesa yetu! cjasikia wakisema mkuu wa jeshi la polis kupata mgao huo hivyo naimani hata yeye anaumia sana kwa wajanja hawa kupakua pesa ya umma!polis waache mabom
Kama kweli watu walioaminiwa na wananchi wanaanza kuwaibia wananchi! where are we heading!?, katika swala la msingi na la maana kama hili,tukiweka uanachama mbele tunapotea!, kama mwiz amekamatwa na amethibitika,kulikon kuanza kujadiriana huyu mwizi badala ya sheria kuchukua mkondo wake! lakn kibaya zaid ni waz hawa watu wanajua hawawez kuchukuliwa hatua za kisheria kwa kuwa serikali yote imepata mgao!, mwiz wa kuku akikamatwa hamaliz hata masaa kadhaa wananchi wanamalzana naye! iweje hawa wez wa mabilion ya wananchi tunajadiriana nao!, sasa napata picha sababu ya kipengere cha mamlaka ya wananchi kumwajibisha kiongoz wao kuondolewa!, ipo minong'ono watu wakisema eti imeondolewa kwakuwa wataiweka kwenye sheria ndogondogo! watanzania wenzangu bila kujali itikad zetu,chondechonde maandamano yanahtajika ili kurudisha pesa yetu! cjasikia wakisema mkuu wa jeshi la polis kupata mgao huo hivyo naimani hata yeye anaumia sana kwa wajanja hawa kupakua pesa ya umma!polis waache mabom