Niuze mme wangu kwa mzungu?

Niuze mme wangu kwa mzungu?

dah hawa ndio wanajiita wanaume ila mi
nawaita mwanaume kiuno..

elimu alopata haijamsaidia kitujinga huyo - si angebaki tu bongo mbona shugamamiz wa kumpa pesa wamejaa??

anywayz mwambie rafki yako na yeye atafute papaa wafunge ndoa maisha yaende sawa
 
Ameshapata tayari mzungu huyo na huko aliko analelewa,kanogewa anataka ku extend muda ili aendelee kujilia vyake bila maswali!! Bidada aamue tu kuendelea au ku stop kupokea vinavyonunuliwa na mke mwenza maana jamaa ndio keshanogewa na akikataliwa atabaki kilazima!
Rafikiyo achanganye na za kwake!
 
Tunamshauri huyu mdada au tunaijadiri ccm! kama tunashindwa kujenga hoja vzr basi tubadili maada tuijadili ccm! lakn wakat tukjadl hayo tukumbuke kutaja chama mbadala wa ccm ila isiwe saccos ya mtei!
ME NADHANI MMEO AKUAMBIE TU KAMA KAKUTOSA KULIKO KUOMBA LIKIZO ISIYO NA MALIPO ILI YAKIMSHINDA HUKO ALIKO NJIA IWE NYEUPE KURUDI KWAKO!
 
Ni mbinu ya shemeji yako kujihalalishia aliyokuwa anayafanya tangu zamani.

Rafiki yako atambue kuwa moyo/mapenzi hauna/hayana substitution kama za kwenye mpira wa kikapu kwamba anaweza kuingia huyu na yule.

Wazungu nao hujua mbinu za waafrika kutaka kuwaoa kwa muda ili kupata uraia, wengi wao huzaa watoto na hapo kukufunga kabisa ili hata salary utakayokuwa unapata mgawane kwajili ya welfare ya watoto na familia kwa ujumla.
Je rafiki yako yuko tayari kwa matokeo ya kitu 'mapenzi'

Hapo hakuna mapenzi tena...hata uwe dhaifu vipi huwezi mpa mpenzi wako chaguo la kijinga hivyo. fatu2010
 
Last edited by a moderator:
Andika kiswahili we mpuuzi,unamchanganyia nan lugha yenyewe hujui.kweli pombe na bangi nouma.
 
Mbona hata hapa hapa bongo wafanyakazi wa serikali walikua wanafunga ndoa feki kwa DC ili apate uhamisho kumfuata mume wake mjini?
 
Hiv kwel tumefikia hatua yakushusha utu wetu kisaa hela tena kibaya zaidi msomi kichwa maji kabsa huyu,hyu atawakimwambia wamcameroon aolewe na mwanaume mwenzake apate uraia anakubali,ulaya ulaya kumbe kunakuolewa huko waiter nipesafar ya bard fasta
 
Hiyo masters yake haijamsaidia,ameshindwa hata kujua thamani ya mkewe?...umaskini wa akili ni mbaya kuliko wa kipato....
well said my dia. Mbona kazi zipo jamani. Vyuo vnafunguliwa kila leo na walimu wanahitajika kama akikosa kazi ya kufanya kwa ofisi za kawaida
 
huyo shem wako yupo nchi gani kwanza? Usikute yupo kwa Cameron, shemeji yako akalazimishwa aolewe yeye afu anawazuga eti kaoa..
 
We vipi wewe ulle sisitujadili! by the way upo na nani hapo ....ni wa kudumu au umeokota SANSIRO! ukinijibu hay nitakupa professional ushauri na bia zitzisha kichwani

Wewe unajifunza kiswahili? Hujajibu tatizo langu umebaki unajiuma uma, nini shida yako?
 
Wakuu nimekuja sasa, ntajibu moja baada ya jingine ntakutana nae sa10 sehemu hiviii tutakuwa tunaramba povu huku namshauri
 
Atumie akili huyo huyo rafiki yako( kama sio inakuhusu wewe mwenyewe) akumbuke huyo jamaa anaweza kuwa hana mapenzi na huyo mama wa kizungu atakayefunga nae ndoa, lakini wakiishi kwa muda fulani akajikuta anampenda na hapo ndio mwanzo wa kutelekezwa huyo rafiki yako,

na nani kampa guarantee kuwa akigraduate ndio maisha yatakuwa mazuri zaidi, kila siku si unaskia story za wabeba box ulaya, watu wana masters na phd lakini wanafanya kazi za hovyo, mwambie amshauri mumewe akimaliza arudi bongo, kwenye maisha katika kutafuta tunatake calculated risks, lakini sio za hivo!
Angekuwa yeye ndio yupo huko ughaibuni mumewe angekubali aolewe na zee la kizungu????

Nawaza tu kwa sauti!

Mmmh huyu wamezaa watoto wa2 eti, huwa naona anampenda ila sijui kama kweli si unajua tena moyo wa mtu.

Kupotelea huko hawezi kwanza wazungu hawajui mapenzi, mdg kafundwa unawajua wamatengo wewe? Enhee sasa mziki wake sidhani kama una fotokop hata apewe huko ila kwa mkewe ni mwisho wa reli.

Ila asante umenipa wazo fulani hivi mmh ntafanyia kazi
 
Amruhusu tu afu na yeye mlete kwangu.

We ukome kabisa, una roho mbaya we baba yani mi nafait ndoa idumu we unataka udoee hapo hapo? Loh asante kwa ushauri ila siuchukui
 
Sio lazima aoe mzungu kuna option ya kununua karatasi,ananunua hata kwa mtu mweusi kama yeye aliye raia kwa makubaliano yakumlipa kiasi fulani cha pesa na wakati yupo kwenye hio ndoa ya kununua anafanya kazi ya kulipa deni!
 
Mmhh... Hii haina tofauti na eti nikisafiri mke wangu anifungashie nguo za safari na kisha aniwekee packet tatu za condom eti nijilinde huko niendako. Huko nikipata kimwana akanipa penzi adimu si nitamtelekeza mke wangu. Tope tope kweli hii mada!

Kumbuka huyu shem ameweza pata pata vihela amtumia mkewe; na wamejitahidi nyumba yao hiyoo iko kribu kwisha. Sasa anajua akirudi kuja kulipwa salary ya laki 7 kwa siku 30 wakati huko ulaya kwa fortnight anapata mara mbilinya hiyo si heri abaki, we unaonaje ili ajipange pange kama ikiwa sawa mdg wangu akubali achukue mdada mmoja huko wakae kwa kinyumba tu hadi shem atakapopata uhalalinwa kuishi huko ndio amfate mkewe.

Mimi nashindwa nimshaurije maana wakiishia kugombana mmh kusutwa na umri huu mtu mzima aibu
 
Hahahahahah aiseee hatare sana, haya mambo bana! Umasikini ni mbaya mweeee

Ni nani kasema ni umasikini? Wao wameona waongeze kipato kwa kupiga box, kaondoka shem ni mwalimu; umaskini gani sasa? Watu wengine bwana aah
 
Wakuu tusidanganyane hapa bongo hakuna mapenzi. yakung'ang'ania penzi nakuacha pesa.. Ila nampongeza mshikaji hata kwa kumpa hiyo taarifa bi dada.. Sidhani kama hayo yangemkuta huyo bi dada kama angemweleza jamaa..
 
Back
Top Bottom