Recent content by SIR JAPHET

  1. S

    Bunge lajigeuka: Tutaendelea kurusha 'LIVE' vikao vya Bunge...

    Wala kuchapa si kazi ngumu ya kusomea ikamshinda PhD,inakuwaje PhD mzima hajui hata kuchapa taarifa ya kiofisi,ama kweli Tanzania ni nchi ya ajabu sana.Ndo hasara ya PhD za online na vyeo vya kupeana.Zama hizi na kipindi tumeshuhudia watu wakipenda kuitwa PhD wakati competence yao ni level ya...
  2. S

    Ushindi wa CHADEMA Daraja mbili (Arusha) ni salaam kwa Lowassa

    Aise we ndo msomi wa chuo cha Makerere Uganda.Hongera sana endeleeni kuamini Uvccm yenye vijana wanaopigana mbele ya baba zao watatawala milele Tanzania.Ushindi wa cdm daraja II ni dalili nzuri za kumuondoa mkoloni mweusi ccm.Wanyonge,maskini wanaendelea kufunguka akili mmebakia watu wachache...
  3. S

    Yanayojiri mkutano wa taifa vijana, Dodoma...!

    ni bado kuna vijana wana imani ukijipendekeza ccm utapata kacheo.Mimi najua kama jina lako la ukoo halimo kwenye vitabu vya ccm utabaki kuwapigia makofi wateule watoto wa vigogo!Anyway tutakutana uchaguz 2015 with high unemployment rate.Kushabikia ccm inahitaji uwe chizi unl
  4. S

    Hongera chadema una kila sababu ya kuwa chama tawala 2015.

    kama mtoto vile huzaliwa na kukua na kujitegemea.hakika chadema ulizaliwa na sasa umekuwa mtu mzima watanzania wengi wana imani na wewe na wako tayari kukukabidhi Tanzania mwaka 2015 utawale na utimize ndoto zao za maisha yenye neema sawa na raslimali za nchi.umekuwa ukisingiziwa mengi mf.wewe...
  5. S

    moto unateketeza nyumba tabata relini

    wadau kuna nyumba inaungua moto tabata relini mpaka sasa hakuna msaada wa zima moto. source clouds fm m.dayo
  6. S

    Kikundi cha Waislam chatawanywa kwa mabomu Mnazi mmoja - Dar

    nimepita muda huu mnazi mmoja polisi wengi wenye bunduki wako eneo la remsi m.moja dar?nahisi kuna ujambazi,mwenye taarifa atujuze
  7. S

    The way how I know Mr. Zitto Kabwe

    KIVULI CHA PHd SLAA KINAWATESA,KILA SIKU ZITTO,ZITTO?
  8. S

    January Makamba: Kamwe CCM haiwezi kuachia dola mwaka 2015

    We can see the hand of god displacing ccm on ruling track,its the matter of time.wakati ukifika hakuna atakayezuia
  9. S

    Watoto wa vigogo waiteka UVCCM!

    This country belongs 2 u only.that's all
  10. S

    Mkutano wa CUF katika viwanja vya Jangwani

    wadau tumesikia cuf pale jangwan kupitia tbc wakitangaza harakati za ukomboz wa watanzania kupitia vision 4 change.mi naona copy n paste ya m4c ya chadema.kwanini wasije na muundo tofauti na cdm?my take ipi m4c au v4c itaondoa ccm madarakani?
  11. S

    Waghushi waraka kuhusisha CHADEMA na migomo

    huyu dogo asenga akiwa itv kipima joto alidai kasimamishwa masomo chuon mwl. nyerere kwa kudai refund ya fedha za matibabu.kumbe hata yeye anasimamishwa
  12. S

    Waghushi waraka kuhusisha CHADEMA na migomo

    huyu dogo asenga alidai kasimamishwa masomo chuon mwl. nyerere kwa kudai refund ya fedha za matibabu.kumbe hata yeye anasimamishwa
  13. S

    Waghushi waraka kuhusisha CHADEMA na migomo

    huyu dogo asenga alidai kasimamishwa masomo chuon mwl. nyerere kwa kudai refund ya fi za matibabu.kumbe hata yeye anasimamishwa
Back
Top Bottom