Tanzania Bora
New Member
- Oct 28, 2012
- 1
- 12
Wananchi wa kata ya Daraja 2 Arusha Leo wamemjibu Lowassa kwa vitendo baada ya majigambo yake kwenye uchaguzi wa CCM kuwa sasa baada ya kuweka vinyago wake kwenye uongozi Arusha mjini na mkoa eti sasa CCM itashinda Arusha. Ameumbuka baada ya CHADEMA kuibuka kidedea kwenye uchaguzi wa udiwani.
Hii si mara ya kwanza kwa fisadi wa Richmond kuumbuka maana alianza Arusha mjini kwa Lema na Arumeru Mashariki kwa Nasari.
Hii si mara ya kwanza kwa fisadi wa Richmond kuumbuka maana alianza Arusha mjini kwa Lema na Arumeru Mashariki kwa Nasari.