Mashabiki hatujui tunahitaji nini maana Kuna kipindi tulimtukana Sana Mayele kuwa ni mbinafsi hatoi pasi kwa wengine lakini akifunga kwenye impossible angles tulimsifu sana
Mwisho tuseme kikosi Cha mashabiki hakijawahi kufungwa[emoji135]
Kila siku nawaza kwanini PSG walilipa pesa yote ile kwaajili ya neymar? nakosa jibu
Kwanini man u walilipa ile pesa kwaajili ya pogba ? Nakosa jibu naishia kusema mpira sasa unachezwa na watu walaini sana kama wanaume wa dar
Andiko hili limenikuta nikiwa na Umri wa miaka 27 hakika naamini litaishi miaka 27 mingine kwangu na 27mingine kwa kitukuu changu
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.