Wigelekelo
JF-Expert Member
- Sep 2, 2018
- 8,765
- 26,901
Rudisha ile avatar bibie..mbn hatuna pa kukimbilia... ngj rafikiyetu wa jana aione hii
![]()
Rudisha ile avatar bibie..mbn hatuna pa kukimbilia... ngj rafikiyetu wa jana aione hii
![]()
Usiogope binti..I,m just kidding too.Maisha yenyewe mafupi.. vinginevyo nngezama moja kwa moja PM😐😐😐 i was kiddin boss😐😐
Usiogope binti..I,m just kidding too.Maisha yenyewe mafupi.. vinginevyo nngezama moja kwa moja PM
Rudisha ile avatar bibie..[/QUOTE
Au ungenifukuza?najua😊😊😊👊
Au ungenifukuza?
Aisee!hahaa....ukija na mbwembwe nakumuteia tu had unajikataa mwenyew..
Miss you my dada, mzima lakini?
Mahuki ya mazimbu auCc dr.mahuki
Eeeeh umetangaza vita"Nimekuwa mwaminifu sana kwa hawa wanawake kwa nyakati zote ambazo nimewahi kuhusiana nao.
Lakini mshahara wa haya ni kusikiliza nyimbo za baraka, IBRA nation na lavalava.
Haijawahi kutokea Mimi niwe chanzo cha maumivu ya mwanamke ambaye Niko naye. Hawaoni memaa yangu wananilipiza maumivu yasiyovumilika.. Asanteni wanawake kwa kunizawadia maumivu"
Halafu baadae mnasema wanaume wabaya?
Hivi mkwawe wanatakaga nini hawa viumbe?
Nami kuanzia leo nakuwa mwanaume mbaya na kila mwanamke nitakaekutana nae ahesabie kilio"
ALISEMA RAFIKI YANGU MAYENGA