Kwanza shukuru kuonwa na daktari. Pili Naomba ufahamu kuwa daktari huwa anaona mengi Sana na mkeo sio malaika kuwa Ana uchi wa tofauti Sana. Nahisi uchi wake Ulikuwa hovyo ndio maana Ulikuwa na wasiwasi. Kwa taarifa yako bora mkeo ametibiwa na daktari wa kiume angekutana na wa kike ungekoma.
Hakuna kitu mbaya kama kutetea usichokifahamu kwa kutumia reference ya ulichosikia au kuambiwa. Yote uliyoandika ni kuambiwa tulioko sumbawanga hatujawahi ona wala kushuhudia zaidi ya kusikia waliofilisika kiakili wakibwabwaja. Usipotoshe tafadhali.
ndugu, kwa taarifa yako roho inakaa ndani ya mwili. Na kanisa linayatazama yote mawili (ROHO NA MWILI). tutakaporuhusu vitu vya hovyo vya kuja kudhuru miili yetu kwa kuogopa kusema basi hiyo itakuwa dhambi kubwa zaidi. Acha kuwahukumu viongozi wa dini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.