Wana Ccm acheni kuangalia hela Munge wenu anawapigania hivyo mumwache kwa sababu ya hela? Mkampe mzanzibari? Eti 50.000? Aibu chukueni hela ill kura elekezeni kunako mtu wenu.
Acheni ubwege
Mzee wa ukweli nakuunga mkono mtu anapouliza aliyoyafanya mama mwaiposa unayaona wewe tu si afuatilie kuona kama ni kweli ?
Acha bangi za vijiweni nenda kulikotajws ukaone kama ni ndo uje na fact humu.
Acha fitina za kiuni udhani kazi ya mbunge ni kukuletea fedha kijiweni.
Acha ufala usipokuwa...
Semeni lingine na tutakutana humu humu Ukonga ameiweza Mwaiposa peke yake. Chuki zenu binafsi acheni Majohe kawatengenezea bars ya kutoka Pugu majohe viwege ilikuwa haipitiki na toka toka majohe kutokezea pugu relini . Nyie acheni huyu mama miaka minne kafanya mengi
Tuambie Waitara...
- Mama Mwaiposa kasema yumo,
- Meya was ilala naye anasema kata imemshinda wapinzani wamezonga aka fie mbele
- Ramshi Patel naye mimi iko taka jaribu tena
Wapo wengine ni vishoia hawafai hata kutajwa humu. Hapo tubakwenda na nani mimic binafsi nasema afadhali zimwi likujualo mama bado...
Hongereni wana ukawa kwa kazi kubwa mliyofanya Ukonga.
Mmemkomesha msanii Jerry Slaa kwa kumweka chini ya mwenyekiti wa serikali ya mtaa toka Ukawa.
Mh Slaa ajifunze kuwa siasa za sasa wa hawajali fedha ,wanakula na wanakumimina pia.
Kesho fanyeni tena mtaa wa GONGOLAMBOTO na Ulongoni...
Hawa CCM mimi nawashangaa wanadhani watanzania wa leo ni sawa na wa mwaka 47.
Eti anakuja kuzungumzia barabara ya Ukonga Moshibar leo mara ya tatu . Nani asiyejua kuwa unataka Ubunge ? Mbona mwaka jana walipotengeneza pale mwanzo hukuja? Acha kutaka vya dezo tunajua na tunatambua ujanja wako...
Mimi nawaomba wafanya biashara ndogondogo Gongolamboto tuungeni mkono msimkubali diwani wenu maana ni mtu anayependa fedha kama alivyotudhulumu hapa machinga complex tunahakikisha tunamburuza kotini.
Nilikuwa najaribu kufanya utafiti mdogo kw wamama walio na nafasi na kukuta wamejitahidi sana.
Mfano :
- Mdee amechakarika
- Naibu waziri Anjela
- Mwaiposa Ukonga pamoja na changamoto katika jimbo lake kachacharika sana.
- Asunta Msama naye kapigana
Hiyo ni mifano michache sana
Ukweli...
Alikaa miaka 5 diwani ukonga na alikuwa naibu meya tulikuwa tunaogelea kwenye matope kuanzia ukonga afadhani sasa mbunge kaipigania inapitika kwenye mkutano wa moshibar mbunge aliahidi kuweka lami .Kama hataweka lami naye baibai 2015
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.