Recent content by Single The Loner

  1. Single The Loner

    Singida: Mwenyekiti Mstaafu wa Jumuiya ya wazazi CCM na Familia yake wanahofiwa kufariki, baada ya gari yao kusombwa na maji Mto Mang’onyi

    Hivi wakuu ule wimbo unaimbwaje? ""ccm wakifa sitalia, tutawatupa mto kagera wawe chakula cha mamba"" sijuwi ndo ivyo hivyo mutanirekebisha wakuu.
  2. Single The Loner

    Nje ya Dar, majiji mengine yana nafuu kwenye dating na kupata wife material ?

    Kumbe iringa nayo tayari imeshakua jiji?
  3. Single The Loner

    JF story time: Huu ndio wimbo uliomkutanisha Juma Nature na Majani and the rest was history

    "kukataa ugali ujinga sio uboss, Sana sana ukila utakua unapunguza mikosi" By Juma nature.
  4. Single The Loner

    Full TIME | Tanzania 0-1 Liechtenstein | International Friendly | Kigali Pelé Stadium

    Naona tayari tanzania nyuma wamechomekwa mwiko, piga mbwa hao, na wengine wapo huku.
  5. Single The Loner

    Waziri Mstaafu wa Ulinzi wa Marekani, James Mattis: Vita bila mkakati ni upumbavu

    Yote aliyoyaandika umeelewa hayo tu mkuu! au ndo umechagua katika yale yaliyokupendeza?
  6. Single The Loner

    Ni kweli Wanawake wana akili kuliko wanaume wengi. Kwa sababu zifuatazo…

    Mkuu naona sasa unawakejeli na sio kuwasifia kama nilivyodhani, unasema wanawake hawaishi katika uhalisia bali ni waigizaji katika maisha, pili umesema wanawake sio wazuri katika kutoa bali ni wazuri katika kupokea, yaani wavivu wavivu wengi wao wanaolewa tu ili wapate nafuu ya maisha kwa kumpa...
  7. Single The Loner

    Hellow hellow guys!

    Kuchelewa kwangu kujiunga JF tu tayali ushaniona mi dogo! ila sina budi kusema ahsante mkubwa.
  8. Single The Loner

    Hellow hellow guys!

    Teacher kwani kule chunya nako kuna akina MWA?
  9. Single The Loner

    Hellow hellow guys!

    ndaga fijo ila nawewe karibu sana kule jukwaa langu pendwa la siasa.
  10. Single The Loner

    Ni kweli Wanawake wana akili kuliko wanaume wengi. Kwa sababu zifuatazo…

    Hao wanawake uliowapa sifa zote hizi labda wa makabila ya huko kwenu ndo wana akili kuliko nyinyi, lakini wa huku kwetu mwakaleli thubutu! mpaka kesho bado wanatembea na magoti pindi wanapotusalimia sisi wanaume kudaa..deki.
  11. Single The Loner

    Hellow hellow guys!

    Mzee nashukuru sana kwa kunikaribisha, kwa hadhi yangu sikutarajia kuwa nitakaribishwa na mtu maarufu kama wewe, kwa furaha nilionayo natamani kububujikwa na machozi ya furaha ila sema sitaki kumpa kiki Lucas Mwashambwa, yule mnyaki mjinga mjinga.
  12. Single The Loner

    Hellow hellow guys!

    Nilisahau kusema "hodi" mkuu, sasa ndo nimejigundua sikua mstaarab, ahsante sana kwa ukaribisho.
  13. Single The Loner

    Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Ila leo tunawabonda tu hakuna namna watakwepa
Back
Top Bottom