Recent content by single father

  1. single father

    Nimediriki kukataa Ndoa

    Dalili ya ushoga
  2. single father

    Bila uchawi wa kurudisha basi reverse, Simba ingefungwa O-1O

    Dah simba wangese sana wamenilaza macho
  3. single father

    Msaada wa Kiroho

    Kwako Rakims na wajuzi wengine, Swali langu ni kwamba, mke wangu anajambo linamsumbua sana. Iko hivi, anafika sehem kwa mara ya kwanza halafu anakuwa kama alishawai kufika hapo siku za nyuma ili hali hakuwa anapajua kabisa. Sasa juzi imekuwa ni zaidi, yaani nimempleka kwenye kikao mwenyewe na...
  4. single father

    Swali lolote kuhusu mambo ya upande wa pili (kiroho)

    Kwako Rakims Swali langu ni kwamba mke wangu anajambo linamsumbua sana iko hivi anafika sehem kwa mara ya kwanza alafu anakuwa kama alisha wai kufika hapo siku za nyuma ili hali hakuwa anapajua kabisa Sasa juzi imekuwa ni zaidi yani nimempleka kwenye kikao mwenyewe na hakuwa najua ile sehem ila...
  5. single father

    Ujenzi wa barabara inayounganisha mikoa mitatu ya Dodoma, Tanga na Singida itapitia maeneo gani?

    Binafsi niko Tanga inawezeka tena vizuri tu na huwa tunasafiri kwa hiyo njia kwa sasa vumbi iko hivi TANGA JIJI HADI HANDENI NI LAMI HANDENI HADI KILINDI NI VUMBI KILINDI UNAENDA KAMA Kilomita kadhaa kama unaenda TURIANI ILA HUFIKI TOWN KUNA SEHEM UNACHEPUKA UNAINGIA KONDOA HADI HAPO TUKO PAMOJA
  6. single father

    Nimrudie au nifanye nini?

    Kijana wa hovyo sana
  7. single father

    Mke kazidi mizaha

    Babu we ndo mwenye shida,mke unaongea na anacheka kwa utani unakasirika we unataka maisha gani haya kaowe mbuzi basi
  8. single father

    Natafuta Mume wa kunioa

    Asa mtu ataishije bila tako au una wenge
  9. single father

    Video ya dada wa Tanga ilivyonishangaza

    Babu mi nipo bonde mji wetu huu naujua vizuri sana 90% girls wana huo mchezo
  10. single father

    Mimi Mzee wa "USIOE" mapenzi yamenishinda, siyo kwa kununa huku kwa wanawake

    Cha msingi unapewa mbunye sioni tabu we ukiwa na ham mcheki piga show sepa tafuta mke mwenye unaweza taniana nae maisha yaende,
  11. single father

    Chongolo Mgeni Rasmi kikao cha Wakuu wa Shule za umoja wa wazazi Tanzania

    NA NYINGINE ZIMEKUFA KABISA HAZINA WANAFUNZI YAMEBAKI MAJENGO TU YANI HATA KUKODISHA TU INASHINDIKANA KAMA TUMESHINDWA TUTAFUTE MUWEKEZAJI
  12. single father

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    NJOO NEWALA DC SHULE IPO JIRANI NA NEWALA TC MIMI NAISHI TOWN NAENDA NA KURUDI WESE LA PIKPIK LA 2,000 TU MIMI NIJE MUHEZA DC IDARA YA MSINGI 0653 849 328
  13. single father

    MSAADA: Nahisi natapeliwa

    Watu wenyewe ndo hao hapo
  14. single father

    MSAADA: Nahisi natapeliwa

    Mi nilipewa uhakika kabisa na niliona watu wamepiga hela
Back
Top Bottom