MSAADA: Nahisi natapeliwa

MSAADA: Nahisi natapeliwa

Watu wenyewe ndo hao hapo
Screenshot_20220703-122053_WhatsApp.jpg
 
Bila shaka utakua mwanachadema maana ndio kila uchaguzi wanakua na ndoto ya kushika dola wanaishia kuwa na za kimarekani tu
 
Kuna hawa jamaa wameibuka sina hakika ni lini wamekuwa wakinishawishi mara kwa mara kwamba naweza piga hela kwa kutumia simu janja yangu yani niki watch YouTube video na ku upload status napata hela sasa bhana nimetuma 50,000 yangu halafu tokea jana nakesha na watch video YouTube lakini sipati hiyo faida

Kwa anaye wajua tafadhali anieleweshe
Kutoa fungu la kumi mwisho lini?
 
Single Father umenikumbusha miaka ya Nyuma walimu wa Vijijini walikua wakistaafu wakilipwa Pension zao wanachukua zile briefcase 💼 wanaweka hela wanazunguka nazo mitaani..ela zikikaribia kuisha wanaanza kufanya biashaea ya kukopesha kwa Riba then wakopaji wote wanapotea na ela mwisho wa siku mtu anabaki anafanya vibarua😀
 
Kuna hawa jamaa wameibuka sina hakika ni lini wamekuwa wakinishawishi mara kwa mara kwamba naweza piga hela kwa kutumia simu janja yangu yani niki watch YouTube video na ku upload status napata hela sasa bhana nimetuma 50,000 yangu halafu tokea jana nakesha na watch video YouTube lakini sipati hiyo faida

Kwa anaye wajua tafadhali anieleweshe
Onesha ushahidi wa muamala uliotuma acha kutuchezea hapa
 
Bila shaka utakua mwanachadema maana ndio kila uchaguzi wanakua na ndoto ya kushika dola wanaishia kuwa na za kimarekani tu
Hapo ndo Jamaa hua wananiacha Hoi yani…they exactly know hakuna tume Huru lakin kila baada ya miaka mitano wanakuwa na matarajio ya kushika Dola😀😀😀…Bora Dkt Bashiru alietumia Dola kubaki kwenye Dola😆😆
 
Single Father umenikumbusha miaka ya Nyuma walimu wa Vijijini walikua wakistaafu wakilipwa Pension zao wanachukua zile briefcase 💼 wanaweka hela wanazunguka nazo mitaani..ela zikikaribia kuisha wanaanza kufanya biashaea ya kukopesha kwa Riba then wakopaji wote wanapotea na ela mwisho wa siku mtu anabaki anafanya vibarua😀
back to square one
 
Kuna hawa jamaa wameibuka sina hakika ni lini wamekuwa wakinishawishi mara kwa mara kwamba naweza piga hela kwa kutumia simu janja yangu yani niki watch YouTube video na ku upload status napata hela sasa bhana nimetuma 50,000 yangu halafu tokea jana nakesha na watch video YouTube lakini sipati hiyo faida

Kwa anaye wajua tafadhali anieleweshe
Hela wanapiga wao au wewe? Piga hela kabla ya kutoa, la sivyo wao ndio watakaopiga hela.
 
Bila shaka utakua mwanachadema maana ndio kila uchaguzi wanakua na ndoto ya kushika dola wanaishia kuwa na za kimarekani tu
Michepuko yako inaendeleaje??
Umesolve!?
 
Back
Top Bottom