Recent content by singidadodoma

  1. S

    Lukuvi: Tunakuja na bei elekezi kwa viwanja

    Kanyaga twende Lukuzi, hii itasaidia wengi sana, kuna wanauza viwanja bei mbaya sana halafu hata kodi hawalipii,
  2. S

    Makomando wa JWTZ wawazima Al Shabab, Watumia dakika 180 kuwanasa wote

    Hongera jwtz na vyombo vingine vya usalama kwa kutuhakikisha tunaishi kwa utulivu na amani
  3. S

    Yaliyojiri Bungeni Dodoma leo Mei 23, 2016

    SERIKALI jana ilitoa majibu mapya yenye ufafanuzi wa kina kwa swali lililojibiwa na aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga ambalo pamoja na masuala mengine, limeeleza mkakati wa serikali kujenga nyumba zaidi ya 9,000 kwa ajili ya askari Magereza na Polisi. Naibu Waziri wa...
  4. S

    Magufuli awatesa CHADEMA. Wajumbe wamsulubu Mbowe

    Maoni yangu. Kwa kasi hii ya Magufuli, CHADEMA wanapaswa kubadili siasa zao waache kufanya siasa za matukio, wafanye siasa za maendeleo katika majimbo wanayoongoza. Lasivyo wataisoma namba zaidi 2020
  5. S

    Rais Dkt. Magufuli akutana na kufanya mazungumzo na Waziri Mkuu na Jaji mkuu Ikulu

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa aliyefika Ikulu kwa ajili ya mazungumzo na Rais Dkt. Magufuli. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akifurahia jambo na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa mara...
  6. S

    TaESA yaonya wafanyao kazi nje ya nchi

    Serikali imefanikiwa kuwaunganisha Watanzania wanaotafuta kazi wapatao 20,000 ikiwa ni moja ya hatua ya kupunguza tatizo la ajira nchini. Kauli hiyo imetolewa na Msemai wa Wakala wa Huduma za Ajira nchini (TaESA) Bi Jamila Mbarouk wakati wa mkutano na vyombo vya habari leo jijini Dar es salaam...
  7. S

    TUHUMA: Ubadhirifu mkubwa wa ruzuku CHADEMA waripotiwa

    Hii taarifa inanifanya nimkumbuke chacha wangwe mungu muweke anakostshili huko alipo, yaani saccos saccos saccossssssss
  8. S

    Waziri wa Mambo ya Ndani, Charles Kitwanga atenguliwa Uwaziri baada ya kuingia Bungeni akiwa amelewa

    JUZI Rais John Magufuli alitengua uteuzi wa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga kutokana kuingia bungeni na kujibu swali linaloihusu wizara hiyo akiwa amelewa. Suala la mtu mwenye dhamana kubwa kama Kitwanga, la wizara inayogusa usalama wa watu na mali zao, kuingia katika...
  9. S

    Sura 4 za Rais Magufuli baada ya kutumbuliwa Kitwanga

    JAMII ya Watanzania imetakiwa kujifunza sura za Rais John Magufuli, kutokana na hatua yake ya kutengua uteuzi wa aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga. Akizungumza na gazeti hili jana kuhusu hatua hiyo ya Rais Magufuli, Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania...
  10. S

    Dar: Makonda azitaka Benki zimwambie waliokuwa wanapokea mishahara hewa

    MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ametoa siku 21 kwa benki zilizokuwa zikitumika kuweka mishahara ya watumishi hewa, kurejesha fedha hizo serikalini ; au kubainisha waliokuwa wakitumia akaunti hizo, kuchukua fedha. Akizungumza na waandishi wa habari jana, Makonda alisema benki ndio...
  11. S

    Spika asema baadhi ya Wabunge huvuta bangi na Unga, asema vifaa maalum kufungwa kuwabaini

    Kama unashangaa kusikia kwamba aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani Charles Kitwanga kutimuliwa kwa sababu ya ulevi. Bila shaka utachoka zaidi ukisikia kuwa kuna Wabunge huingia Bungeni wakiwa wamevuta Bangi na Madawa ya Kulevya. Spika wa Bunge Job ndugai amefichua siri hiyo, Spika Ndugai...
  12. S

    Lema kahamishia mapambano Bungeni, Tofauti na Bunge Lililopita

    Hivi ile hospital ya mama na mtoto aliyoihaidi lema cha chadema takriban miaka mitano na zaidi imeshajengwa? Nauliza tu
  13. S

    Lowassa timiza ahadi yako ya Kuchunga ng'ombe

    Lowassa sawa na mfa maji haachi kiutapa tapa,
  14. S

    Spika Ndugai Msaidie Rais Magufuli kwa kuzuia walevi wasiingie Bungeni

    Mbona huyo kajulikana bila bunge livwe, kuna mbunge mmoja wa upinzani kutoka mbeya ni chapombe huyo balaa, dereva wake hupata tabu sana kudeki matapishi ktk gari. ,vikiwekwa hivi vifaa hachomoki
  15. S

    Hongera sana Yericko Nyerere

    HIVI BADO YULE DOGO HAJALIPWA MPAKA LEO DU? ISIJE KESHO KUTWA TUKAJA SIKIA KUWA HIKO KITABU MTUNZI MWINGINE TU HA HA HAAAAA
Back
Top Bottom