Recent content by Sineno

  1. S

    Toka lini uvaaji wa Niqab imekuwa ni marufuku mahosptalini?

    Niliwahi kuona tukio kama hilo Muhimbili, nilipouliza kulikoni nikaambiwa kuwa imegundulika wanawake wanaoiba watoto hospitalini huvaa hizo niqab. So ndio kuna hilo katazo. Lakini ingekuwa vyema kama wangeweka tangazo ili kuepusha hali kama hiyo iliyotea Iringa.
  2. S

    Fursa katika kilimo cha viazi lishe, tuchangamkieni upesi

    Ni jambo zuri, lkn naona kama demand yake kwenye soko sio kubwa kihivyo kufananisha na zao la muhogo?
  3. S

    Miaka 10 baada ya kifo cha Ali Nabwa

    Binafsi nilikuwa nikisoma sana maandishi ya Nabwa, Nakumbuka kisa cha yule mama Wa kizungu kwenye kituo cha treni!
  4. S

    Miaka 10 baada ya kifo cha Ali Nabwa

    Imekuwa bahati mbaya sana ili uwe Mwanasiasa hapa kwetu lazima uwe muongo, mbabe, mjivuni na kila sifa mbaya. Mzee Mohamed Said ni mwandishi tu. Allah akubaarik Mzee
  5. S

    Shigongo: Hivi ndivyo nilivyomalizana na CCM

    It sounds good, vijana, wazee, wanawake na watu wote tuseme tusiogope. Sisi hatujawakopesha kofia CCM ila tumewakopesha kura zetu hivyo tupo sawa na Eric, TUPAZE SAUTI
  6. S

    'Shetani' Mtanashati na Amri Kuu 10

    Nimecheka sana hasa huyo jamaa wa mnara anaitwa 'sumu' ila mi naona huyu jamaa Lusting anazidiwa na hawa Wanasiasa wetu, maana pamoja na kututapeli kila baada ya miaka 5 bado tunawakubali tu, tumekuwa kama Al Capone!
  7. S

    Abdullah Kassim Hanga: Kutoka Kiongozi hadi adui wa mapinduzi ya Zanzibar

    Ndio maana kuna siku ya malipo, every body will be paid accordingly. Kama waliofanya dhulma hii na nyingine bado wapo hai mlango upo wazi na watubie.
  8. S

    Mchungaji Anthony Lusokelo apinga ndoa za mke mmoja

    Maslahi ya kuoa wake wengi ni mengi kuliko kuoa mke mmoja, na hili la kuoa wake wengi unaweza prove biologically, socially na economically.
  9. S

    Faidika na darasa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa

    Dah, Dada Faiza ananilaza macho! Hongera
  10. S

    Hongera sana Pascal Mayalla, Ndio Mwandishi Pekee Uliyemuuliza Swali Rais Magufuli

    Mie namfananisha Mr.president na dereva mwenye hamu na shauku kubwa ya kuwafikisha abiria wake salama salimini tena kwa haraka lkn dereva huyu hazingatii kabisa sheria ya barabara. Sasa heri atufikishe salama tutampongeza sana na bila shaka tutapanda gari yake safari nyingine lakini akitubwaga...
  11. S

    Rais Magufuli, naomba utoe msamaha kwa ndugu George Paul

    Watz tuna maneno miiingi, mleta habari fanya hima ulete jukwaani no ya simu au namna nyingine yoyote tuwasaidie ndugu zetu goerge na kaya yake. Na bila ya shaka yoyote tutalipwa na YEYE ambae hapotezi ujira
  12. S

    Waarabu ndio waliokuwa vinarabwa kuwauza mababu zetu shame!

    The name of the first slave ships to kidnap Black folks from Africa was the Mother Mary and The Good Ship Jesus. The logo in front of The Good Ship Jesus was two Africans bound back to back. The head of all Christian churches, the Pope, said that your ancestors were infidels and it was the white...
  13. S

    Kisa cha Shariff Abdallah Attas na mwalimu Julius Nyerere ofisi ya TANU baada ya uhuru

    Mtanganyika ananikumbusha kisa kimoja, jamaa anaambiwa na wazee kuwa huyu si baba yako mzazi, babako ni fulani. maana mama yako aliolewa na huyu mzee hali ya kuwa wewe umtoto mchanga, jamaa kang'ang'ania hakubali lolote! Kumbe ikaja julikana jamaa alikuwa akiudharau sana ukoo wa yule babake...
Back
Top Bottom