Mi ni mwana-CCM dam kabisaa mkuu ila kama ujuavyo Mungu alituumba tofauti sana sisi binadamu kwahiyo ukiniona wakati mwingine 'kama naipondea' CCM basi ni katika kurekebisha na si kuharibu kama wale jamaa wa upande ulee.
Siwezi kuwa mpinzani nikashikiwa akili hata siku moja, ni bora nihame...
Equation x, Kweli mkuu wako frustrated mnoo halafu wenyewe wanajikaza kisabuni mbele ya kadamnasi eti "kwani kuolewa lazima?" Huku deepdown they are craving for it na ndio maana wamegeuka kuwa mitaji ya waganga wa kienyeji.
Hivi ushawahi jiuliza kwanini waganga wa mapenzi siku hizi wako wengi...
Ulitakiwa uijue kwanza historia ya uislam na waislam kisha ndo ujue kwanini baadhi ya waislam wameuingia huo mtego wa ISIS.
Hakuna mwanazuoni (scholar) ambaye ameikubali ISIS, kwa maana nyingine viongozi wa waislam wameikataa ISIS ila wapo wale wenzangu na mimi ambao kutokana na ugumu wa maisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.