Mwakyembe afungua kampeni ya uchaguzi kata ya Serengeti

Mathayo Fungo

JF-Expert Member
Nov 13, 2018
319
510
Mbunge wa Kyela na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison G. Mwakyembe (Mb) ameshiriki leo tarehe 22 Novemba, 2019 ameshiriki kwenye ufunguzi wa kampeni ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwenye Kata ya Serengeti uliofanyika katika kitongoji cha Keifo.

Akifungua mkutano Mwenyekiti wa CCM Kata ya Serengeti, Willy Mwangomile amewashukuru wana-Serengeti kwa kuhudhuria kwa wingi katika mkutano huo. Aidha, Bw. Mwangomile amewahakikishia wananchi kwamba CCM imejipanga vizuri na uchaguzi wa Serikali za Mitaa licha ya vyama vingine kujitoa.

Kwa upande wake Diwani wa kata ya Serengeti Martin Mwainyekule amemshukuru Mbunge kwa utekelezaji wa miradi mbalimbali katika Kata ya Serengeti ikiwemo barabara, maji na afya. Diwani Martin ameelezea pia ya Kata katika barabara na usambazaji wa maji zaidi katika vitongoji na kumuomba Mbunge kusaidia katika utekelezaji wa masuala hayo.

Kwa upande wake Katibu wa UVCCM Wilaya ya Kyela na Mjumbe wa Secretariat Wilaya Peter Tungulu amewapongeza wana-Serengeti kwa kujitokeza kwa wingi na kwa mapokezi mazuri waliyoyafanya. Bw. Peter ametumia wasaa huo kuishukuru Serikali kwa kutekeleza miradi katika Kata ya Serengeti na kuwahakikishia wananchi kwamba CCM itasimamia utekelezaji wa miradi iliyobaki.

Mjumbe wa Kamati ya Siasa ya Halmashauri kuu ya CCM Mkoa wa Mbeya Bi. Lydia Sanga amewashukuru wana-Serengeti kwa kujitokeza kwa wingi katika mkutano. Aidha Bi. Lydia amewaomba wananchi kujitokeza kwa wingi siku ya uchaguzi tarehe 24 Novemba, 2019 na kuwachagua viongozi wa CCM.

Akihutubia katika mkutano huo, Dkt. Mwakyembe amewataka wana-Serengeti kujitokeza kwa wingi tarehe 24 Novemba, 2019 na kuwachagua viongozi wa CCM. Dkt. Mwakyembe pia amewaambia wana-Serengeti Serikali itakamilisha kusambaza umeme katika maeneo machache yaliyobaki, kukamilisha ukarabati na ujenzi wa barabara kwa maeneo yenye changamoto, kuongeza mtandao wa usambazaji wa maji na kutoa mikopo kwa vikundi vya vijana na wanawake.

Akihitimisha hotuba yake Dkt. Mwakyembe amewaombea kura wagombea wote wa CCM wa Kata ya Serengeti.

Awali akitoa utangulizi, Katibu wa CCM Kata ya Serengeti ndugu Adam Katembo aliwahakikishia wana-Serengeti ushindi katika uchaguzi kwa kuwa wagombea wote waliochaguliwa wana uwezo wa kutosha.

Imetolewa na:
Amani Mwakipesile,
Katibu wa Mbunge,
Ofisi ya Mbunge Kyela.
22 Novemba, 2019
IMG-20191122-WA0025.jpeg
IMG-20191122-WA0029.jpeg
IMG-20191122-WA0028.jpeg
IMG-20191122-WA0027.jpeg
IMG-20191122-WA0020.jpeg
 
Masikini CCM kwisha kabisa, kifo cha Mende miguu juu.
Nawaelewa MaCCM na Magufuli, kwa nini wanatuogopa CHADEMA.
Hawatakaa wakubali kuruhusu uwanja sawa wa siasa, abadani,si kwa aibu hii, wamebaki kuongengea na vindiketea.
 
Mbunge wa Kyela na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison G. Mwakyembe (Mb) ameshiriki leo tarehe 22 Novemba, 2019 ameshiriki kwenye ufunguzi wa kampeni ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwenye Kata ya Serengeti uliofanyika katika kitongoji cha Keifo.

Akifungua mkutano Mwenyekiti wa CCM Kata ya Serengeti, Willy Mwangomile amewashukuru wana-Serengeti kwa kuhudhuria kwa wingi katika mkutano huo. Aidha, Bw. Mwangomile amewahakikishia wananchi kwamba CCM imejipanga vizuri na uchaguzi wa Serikali za Mitaa licha ya vyama vingine kujitoa.

Kwa upande wake Diwani wa kata ya Serengeti Martin Mwainyekule amemshukuru Mbunge kwa utekelezaji wa miradi mbalimbali katika Kata ya Serengeti ikiwemo barabara, maji na afya. Diwani Martin ameelezea pia ya Kata katika barabara na usambazaji wa maji zaidi katika vitongoji na kumuomba Mbunge kusaidia katika utekelezaji wa masuala hayo.

Kwa upande wake Katibu wa UVCCM Wilaya ya Kyela na Mjumbe wa Secretariat Wilaya Peter Tungulu amewapongeza wana-Serengeti kwa kujitokeza kwa wingi na kwa mapokezi mazuri waliyoyafanya. Bw. Peter ametumia wasaa huo kuishukuru Serikali kwa kutekeleza miradi katika Kata ya Serengeti na kuwahakikishia wananchi kwamba CCM itasimamia utekelezaji wa miradi iliyobaki.

Mjumbe wa Kamati ya Siasa ya Halmashauri kuu ya CCM Mkoa wa Mbeya Bi. Lydia Sanga amewashukuru wana-Serengeti kwa kujitokeza kwa wingi katika mkutano. Aidha Bi. Lydia amewaomba wananchi kujitokeza kwa wingi siku ya uchaguzi tarehe 24 Novemba, 2019 na kuwachagua viongozi wa CCM.

Akihutubia katika mkutano huo, Dkt. Mwakyembe amewataka wana-Serengeti kujitokeza kwa wingi tarehe 24 Novemba, 2019 na kuwachagua viongozi wa CCM. Dkt. Mwakyembe pia amewaambia wana-Serengeti Serikali itakamilisha kusambaza umeme katika maeneo machache yaliyobaki, kukamilisha ukarabati na ujenzi wa barabara kwa maeneo yenye changamoto, kuongeza mtandao wa usambazaji wa maji na kutoa mikopo kwa vikundi vya vijana na wanawake.

Akihitimisha hotuba yake Dkt. Mwakyembe amewaombea kura wagombea wote wa CCM wa Kata ya Serengeti.

Awali akitoa utangulizi, Katibu wa CCM Kata ya Serengeti ndugu Adam Katembo aliwahakikishia wana-Serengeti ushindi katika uchaguzi kwa kuwa wagombea wote waliochaguliwa wana uwezo wa kutosha.

Imetolewa na:
Amani Mwakipesile,
Katibu wa Mbunge,
Ofisi ya Mbunge Kyela.
22 Novemba, 2019View attachment 1269540View attachment 1269541View attachment 1269542View attachment 1269544View attachment 1269545
Maelfu ya wananchi walifurika kwenye ufumbuzi za hizo kampeni
 
Mbunge wa Kyela na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison G. Mwakyembe (Mb) ameshiriki leo tarehe 22 Novemba, 2019 ameshiriki kwenye ufunguzi wa kampeni ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwenye Kata ya Serengeti uliofanyika katika kitongoji cha Keifo.

Akifungua mkutano Mwenyekiti wa CCM Kata ya Serengeti, Willy Mwangomile amewashukuru wana-Serengeti kwa kuhudhuria kwa wingi katika mkutano huo. Aidha, Bw. Mwangomile amewahakikishia wananchi kwamba CCM imejipanga vizuri na uchaguzi wa Serikali za Mitaa licha ya vyama vingine kujitoa.

Kwa upande wake Diwani wa kata ya Serengeti Martin Mwainyekule amemshukuru Mbunge kwa utekelezaji wa miradi mbalimbali katika Kata ya Serengeti ikiwemo barabara, maji na afya. Diwani Martin ameelezea pia ya Kata katika barabara na usambazaji wa maji zaidi katika vitongoji na kumuomba Mbunge kusaidia katika utekelezaji wa masuala hayo.

Kwa upande wake Katibu wa UVCCM Wilaya ya Kyela na Mjumbe wa Secretariat Wilaya Peter Tungulu amewapongeza wana-Serengeti kwa kujitokeza kwa wingi na kwa mapokezi mazuri waliyoyafanya. Bw. Peter ametumia wasaa huo kuishukuru Serikali kwa kutekeleza miradi katika Kata ya Serengeti na kuwahakikishia wananchi kwamba CCM itasimamia utekelezaji wa miradi iliyobaki.

Mjumbe wa Kamati ya Siasa ya Halmashauri kuu ya CCM Mkoa wa Mbeya Bi. Lydia Sanga amewashukuru wana-Serengeti kwa kujitokeza kwa wingi katika mkutano. Aidha Bi. Lydia amewaomba wananchi kujitokeza kwa wingi siku ya uchaguzi tarehe 24 Novemba, 2019 na kuwachagua viongozi wa CCM.

Akihutubia katika mkutano huo, Dkt. Mwakyembe amewataka wana-Serengeti kujitokeza kwa wingi tarehe 24 Novemba, 2019 na kuwachagua viongozi wa CCM. Dkt. Mwakyembe pia amewaambia wana-Serengeti Serikali itakamilisha kusambaza umeme katika maeneo machache yaliyobaki, kukamilisha ukarabati na ujenzi wa barabara kwa maeneo yenye changamoto, kuongeza mtandao wa usambazaji wa maji na kutoa mikopo kwa vikundi vya vijana na wanawake.

Akihitimisha hotuba yake Dkt. Mwakyembe amewaombea kura wagombea wote wa CCM wa Kata ya Serengeti.

Awali akitoa utangulizi, Katibu wa CCM Kata ya Serengeti ndugu Adam Katembo aliwahakikishia wana-Serengeti ushindi katika uchaguzi kwa kuwa wagombea wote waliochaguliwa wana uwezo wa kutosha.

Imetolewa na:
Amani Mwakipesile,
Katibu wa Mbunge,
Ofisi ya Mbunge Kyela.
22 Novemba, 2019View attachment 1269540View attachment 1269541View attachment 1269542View attachment 1269544View attachment 1269545
Maelfu ya wananchi walifurika kwenye ufumbuzi za hizo kampeni
 
Ni kawaida ya madhalim hutiwa upofu na mungu ili utawala wao wakidhalimu uanguke.
 
Mbunge wa Kyela na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison G. Mwakyembe (Mb) ameshiriki leo tarehe 22 Novemba, 2019 ameshiriki kwenye ufunguzi wa kampeni ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwenye Kata ya Serengeti uliofanyika katika kitongoji cha Keifo.

Akifungua mkutano Mwenyekiti wa CCM Kata ya Serengeti, Willy Mwangomile amewashukuru wana-Serengeti kwa kuhudhuria kwa wingi katika mkutano huo. Aidha, Bw. Mwangomile amewahakikishia wananchi kwamba CCM imejipanga vizuri na uchaguzi wa Serikali za Mitaa licha ya vyama vingine kujitoa.

Kwa upande wake Diwani wa kata ya Serengeti Martin Mwainyekule amemshukuru Mbunge kwa utekelezaji wa miradi mbalimbali katika Kata ya Serengeti ikiwemo barabara, maji na afya. Diwani Martin ameelezea pia ya Kata katika barabara na usambazaji wa maji zaidi katika vitongoji na kumuomba Mbunge kusaidia katika utekelezaji wa masuala hayo.

Kwa upande wake Katibu wa UVCCM Wilaya ya Kyela na Mjumbe wa Secretariat Wilaya Peter Tungulu amewapongeza wana-Serengeti kwa kujitokeza kwa wingi na kwa mapokezi mazuri waliyoyafanya. Bw. Peter ametumia wasaa huo kuishukuru Serikali kwa kutekeleza miradi katika Kata ya Serengeti na kuwahakikishia wananchi kwamba CCM itasimamia utekelezaji wa miradi iliyobaki.

Mjumbe wa Kamati ya Siasa ya Halmashauri kuu ya CCM Mkoa wa Mbeya Bi. Lydia Sanga amewashukuru wana-Serengeti kwa kujitokeza kwa wingi katika mkutano. Aidha Bi. Lydia amewaomba wananchi kujitokeza kwa wingi siku ya uchaguzi tarehe 24 Novemba, 2019 na kuwachagua viongozi wa CCM.

Akihutubia katika mkutano huo, Dkt. Mwakyembe amewataka wana-Serengeti kujitokeza kwa wingi tarehe 24 Novemba, 2019 na kuwachagua viongozi wa CCM. Dkt. Mwakyembe pia amewaambia wana-Serengeti Serikali itakamilisha kusambaza umeme katika maeneo machache yaliyobaki, kukamilisha ukarabati na ujenzi wa barabara kwa maeneo yenye changamoto, kuongeza mtandao wa usambazaji wa maji na kutoa mikopo kwa vikundi vya vijana na wanawake.

Akihitimisha hotuba yake Dkt. Mwakyembe amewaombea kura wagombea wote wa CCM wa Kata ya Serengeti.

Awali akitoa utangulizi, Katibu wa CCM Kata ya Serengeti ndugu Adam Katembo aliwahakikishia wana-Serengeti ushindi katika uchaguzi kwa kuwa wagombea wote waliochaguliwa wana uwezo wa kutosha.

Imetolewa na:
Amani Mwakipesile,
Katibu wa Mbunge,
Ofisi ya Mbunge Kyela.
22 Novemba, 2019View attachment 1269540View attachment 1269541View attachment 1269542View attachment 1269544View attachment 1269545
Duuu! Mpaka huruma yaani ccm ndo tumefikia hapa jamani nashauri chama changu ccm tubadili hata msitu/jina ila nyani tubaki walewale ndio njia bora na nafuu kwa sasa hili la sasa mda wake wa matumizi umeisha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom