Mambo gani ya kufuata au kujua kabla sijatuma au kupokea pesa kutoka nje ya nchi?
Mfano kama kunaongezeko la hela mtu anayotakiwa kutoa au kama kuna ushuru/tax yoyote na nikiasi gani
NI JAMBO LA KUELIMISHANA TU WAPENDWA
SIMU YAKO INAWEZA KUPUNGUZA AU KUONGEZA KIPATO CHAKO
Kama unatumia simu kubwa yenye WhatsApp na haikuingizii kipato lakn una hamu na una penda kujua jinsi ya kufanya ili uingize kipato . Basi leo nataka nikuoneshe fursa ambayo utaweza kutengeneza pesa zaidi ya 10000 kwa siku kupitia simu yako...
Tunatawaliwa kiwaki balaa, kisa msaada tu, na vitu vidogo vidogo vingi vinavyoingia Africa kwa jina la msaada..... Inasababisha inchi za Africa ( like Kenya) wako kwenye cold colonialism ,unknowingly :oops::oops:
Poleni jirani zetu
Mtu mjinga ni yule ambae amekoswa maarifa kuhusu jambo ,neno au tendo fulani .
Lakini mtuhuyu anaweza kufundishwa na akaelewa na hata kubadilika
Lakini mtu mpumbavu ni yule ambae hajui kama hajui wala hataki kujua wala kuelewa kwamba hajui kwahio hawezi badilika hata kama akiipata elimu hio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.