Simon Henry
Member
- May 16, 2019
- 8
- 15
Mambo gani ya kufuata au kujua kabla sijatuma au kupokea pesa kutoka nje ya nchi?
Mfano kama kunaongezeko la hela mtu anayotakiwa kutoa au kama kuna ushuru/tax yoyote na nikiasi gani
NI JAMBO LA KUELIMISHANA TU WAPENDWA
Mfano kama kunaongezeko la hela mtu anayotakiwa kutoa au kama kuna ushuru/tax yoyote na nikiasi gani
NI JAMBO LA KUELIMISHANA TU WAPENDWA