Recent content by Simeone

  1. Simeone

    TECNO Spark 40 ni mfano wa simu zinazofanya watumiaji wa TECNO wadharaulike!

    Maskini wenzangu msio na mambo mengi kwenye simu nunueni INFINIX HOT 10 PLAY mtafaidi sana.
  2. Simeone

    Hivi hakuna namna rahisi ya kujua Code ya mtandao wa simu kwa haraka?

    Rahisi tu Voda: 079, 076, 075, na 074 Airtel: 078 na 068 Tigo: 077 na 065 Halotel: 062 na 061.
  3. Simeone

    Nimechagua Infinix hot 60 pro badala ya Samsung A16 zote bei zilikua sawa 400k

    Mfano matumizi gani? yaani nataka kujua baadhi ya hayo matumizi kwa wale mnaojua kutumia simu tofauti na mtu wa kawaida anayefungua websites na apps mbalimbali.
  4. Simeone

    Identification zetu JF zinaficha mengi sana

    Samahani mkuu GENTAMYCINE je, ni wewe ndo wanakuongelea hapa?
  5. Simeone

    Nimechagua Infinix hot 60 pro badala ya Samsung A16 zote bei zilikua sawa 400k

    Sawa, na nyie mnaojua kuzitumia mnaingia wapi?
  6. Simeone

    Vitu vitatu vitakavyoiua Simba SC kwenye dabi ya kariako 1/03/2036

    GENTA jana Alisema wao wanastraika aliyekuwa anacheza ligi ya timu ya U LA YA hawaihofii yanga
  7. Simeone

    Kuna Timu moja 'strategically' inafanyiwa 'mind game' na Mpinzani na yenyewe imejaa tarehe 1 Machi,2026 kuna mauwaji ya Kishalubela Guantanamo

    Afu hiyo siku ni leo, tunasubiri muda tukajitafunie ka simba ketu 😂😂😂
  8. Simeone

    Hapa Tanzania 50% ya wavulana wenye miaka 20 hawajahi kufanya mapenzi, lakini kwa wasichana wenye umri huo ni 1% tu

    Acha ubishi me mwenyewe nazitoa bikira za hao madogo, huwa wanataka wenyewe siwashawishi.
  9. Simeone

    Kumbe mitaani hakuna Biblia Wala Quran halisi!

    Mjusi Sharobalo hapa atasema NDIO.
  10. Simeone

    Ni ngumu kumpata bikra Kanda ya Ziwa, sijui wana shida gani

    Sa Safi genta naona umempa elimu kidogo, yeye anadhani kila bikra hutolewa na mwanaume.
  11. Simeone

    Hakuna kitu kinaondosha baraka za Pesa kama zinaa/Pombee

    Mkuu nielekeze tafadhali! sitanii.
  12. Simeone

    Mpenzi wangu anatumia muda mwingi sana ku-chat na ex wake, na kila nikimuuliza anasema ni mazoea tu!

    Ana mtoto na huyo EX wake? kama hana halafu anachati na ex wake we anakwambia ni mazoea, basi wewe ni BONGE LA FALA.
  13. Simeone

    Wana JF, Tarehe 14.02.2026 ni siku ambayo naenda kufunga ndoa, karibuni tusherehekee

    Oy si ulisema kwamba wewe ni mpiga punyeto huwa haisimami vizuri....hiyo ndoa utaiweza?
Back
Top Bottom