Recent content by Simeone

  1. Simeone

    JamiiForums Tanzania Kisa: Nilivyowahi maishani

    😢😢😢
  2. Simeone

    JamiiForums Tanzania Kisa: Nilivyowahi maishani

    Duh hatari sana, tunasubiri muendelezo tafadhali...
  3. Simeone

    JamiiForums Tanzania Kisa: Nilivyowahi maishani

    Duh hatari sana, tunasubiri muendelezo tafadhali...
  4. Simeone

    JamiiForums Tanzania Kitu gani kinakukera sana ukiwa unasafiri kwa basi kwenda mkoani?

    Ndo unataja WASUKUMA? achana na sisi🥺
  5. Simeone

    JamiiForums Tanzania Ni mwanaJF gani ambaye unafikiri akipewa mamlaka kuanzia sasa anaweza kuiongoza nchi ya Tanzania?

    Robert Heriel Mtibeli nadhani anafaa sana.
  6. Simeone

    JamiiForums Tanzania Wapi ulienda ukakuta ardhi bei ya kutupwa?

    Ni zamani au?
  7. Simeone

    JamiiForums Tanzania Ushawahi Kuwa In Love Lakini Ukashindwa Kusema?

    Haya!
  8. Simeone

    JamiiForums Tanzania Ushawahi Kuwa In Love Lakini Ukashindwa Kusema?

    Je ni kweli wanawake mara nyingi mnapendelea wanaume warefu? Halafu mimi naongea serious sio utani napata shida sana kwenye hii sekta.
  9. Simeone

    JamiiForums Tanzania Ushawahi Kuwa In Love Lakini Ukashindwa Kusema?

    Lakini mnapenda kutongozwa kweli? mbona wengi huishia kunionyesha madharau au kwa sababu mi mfupi? lakini huwa nafata niliowazidi kimo.
  10. Simeone

    JamiiForums Tanzania Ushawahi Kuwa In Love Lakini Ukashindwa Kusema?

    Dah! Mimi ni mmojawao wa madomozege hebu nipe njia kwakuwa wewe ni mwanamke nadhani utanisaidia, hivi mwanaume kabla ya kumtokea demu anatakiwa aweje au ni kipi mwanaume azingatie? Please nipe maujanja nianze mazoezi.
  11. Simeone

    JamiiForums Tanzania Nilitoa kafara miaka mitano kujifunza Forex

    Unajua tofauti ya trader na mfanyabiashara? kingine kwanini uniulize swali kama hilo?
  12. Simeone

    JamiiForums Tanzania Nilitoa kafara miaka mitano kujifunza Forex

    Wewe! yaani utengeneze mkakati kwa miaka bila kutrade? baada ya hapo unaanza kupata mafaida😂 acha kufanya watu waendelee kutapeliwa kwenye biashara hii.
  13. Simeone

    JamiiForums Tanzania Nilitoa kafara miaka mitano kujifunza Forex

    Sawa lakini nyinyi mnaosema mmejifunza miaka ni waongo huo u-pro mtu anaupata kwa ndani ya miezi 4 tu, miaka ni kitu gani unajifunza?
  14. Simeone

    JamiiForums Tanzania Nilitoa kafara miaka mitano kujifunza Forex

    Kitendo cha kuanza na mtaji wa 20$ na kuikuza hata mara 10 tayari huo ni u-pro we unazungumzia u-pro gani? kwanza kila position unayofungua upo sahihi au?
Back
Top Bottom