Ni kwamba post zake huwa ni fikirishi na zinaweza kuwa tiba ya akili kwa baadhi ya watu ila sasa huwa naona anajipaga sifa sana na huo UTIBELI wake yaani ni kama mtu special.
Kuna huyu mdau wa hapa jamiiforums anapenda sana kutumia neno MTIBELI, utasikia "sheria za kitibeli ni ngumu sana haiwezekani kwa mtu wa kawaida sijui na uongo gani mwingine huko😂"
Binafsi namkubali sana huyu jamaa ila umeshawahi kujiuliza UTIBELI ni nini?
Sasa leo nimeamua kufuatilia nijue...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.