Dah! Mimi ni mmojawao wa madomozege hebu nipe njia kwakuwa wewe ni mwanamke nadhani utanisaidia, hivi mwanaume kabla ya kumtokea demu anatakiwa aweje au ni kipi mwanaume azingatie? Please nipe maujanja nianze mazoezi.
Wewe! yaani utengeneze mkakati kwa miaka bila kutrade? baada ya hapo unaanza kupata mafaida😂 acha kufanya watu waendelee kutapeliwa kwenye biashara hii.
Kitendo cha kuanza na mtaji wa 20$ na kuikuza hata mara 10 tayari huo ni u-pro we unazungumzia u-pro gani? kwanza kila position unayofungua upo sahihi au?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.