Wakuu kwema,
Umepita muda wa mwezi mmoja tangu nijiandikishe nida ili kupata kitambulisho cha Taifa, sijatumiwa sms na NIN na kawaida wanasema inachukua wiki 1 tu kutoa namba
Mwenye kujua jinsi ya kuangalia kama namba imetoka au kujua maombi yapo hatua gani anielekeze.
ASANTENI.
Siyo mimi ni AI
Watu wanaofanya mazingaombwe (magicians au illusionists) hawatumii nguvu za giza, bali wanatumia mapungufu ya milango yetu ya fahamu (macho na ubongo) na kanuni za kisayansi kutudanganya kiakili.
Hapa chini nimekuwekea ufafanuzi wa kisayansi wa yale mambo uliyoyauliza:
1. Kutoa...
JAMBO NINALOPENDA!
Kuna kipindi nilibahatika kupata mmoja, nilikuwaga naichakata hadi anakimbia ilikuwa 2013 nilipiga kama miezi 7 hivi na natamani nipate tena bahati kama hiyo.
Mfano matumizi gani? yaani nataka kujua baadhi ya hayo matumizi kwa wale mnaojua kutumia simu tofauti na mtu wa kawaida anayefungua websites na apps mbalimbali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.