Recent content by Simeone

  1. Simeone

    Nawezaje kupata namba ya NIDA?

    Mkuu hata hiyo nilishajaribu hakuna chochote kinachojibiwa.
  2. Simeone

    Nawezaje kupata namba ya NIDA?

    Poa mkuu.
  3. Simeone

    Nawezaje kupata namba ya NIDA?

    Mkuu hiyo website yao haifanyi kazi ile ni geresha tu, kama una namba ya nida hebu ifanyie majaribio uone kama itakupa matokeo sahihi.
  4. Simeone

    Nawezaje kupata namba ya NIDA?

    Wakuu kwema, Umepita muda wa mwezi mmoja tangu nijiandikishe nida ili kupata kitambulisho cha Taifa, sijatumiwa sms na NIN na kawaida wanasema inachukua wiki 1 tu kutoa namba Mwenye kujua jinsi ya kuangalia kama namba imetoka au kujua maombi yapo hatua gani anielekeze. ASANTENI.
  5. Simeone

    Unawezaje kuishi na mwanaume ambaye anakunyamazia bila sababu?

    Kulikuwa na haja gani ya kusema BHANGOSHA umeniuzi😡😠
  6. Simeone

    Mkasa wa Jirani: Mwanaume Asiyeonekana

    Siyo mimi ni AI Watu wanaofanya mazingaombwe (magicians au illusionists) hawatumii nguvu za giza, bali wanatumia mapungufu ya milango yetu ya fahamu (macho na ubongo) na kanuni za kisayansi kutudanganya kiakili. Hapa chini nimekuwekea ufafanuzi wa kisayansi wa yale mambo uliyoyauliza: 1. Kutoa...
  7. Simeone

    Mwili haujengwi kwa tofali. Sea never dries

    JAMBO NINALOPENDA! Kuna kipindi nilibahatika kupata mmoja, nilikuwaga naichakata hadi anakimbia ilikuwa 2013 nilipiga kama miezi 7 hivi na natamani nipate tena bahati kama hiyo.
  8. Simeone

    Mwili haujengwi kwa tofali. Sea never dries

    We vipi? unapewa K kila siku halafu unalalamika, sisi wengine hata akitaka kila saa😡😡
  9. Simeone

    TECNO Spark 40 ni mfano wa simu zinazofanya watumiaji wa TECNO wadharaulike!

    Maskini wenzangu msio na mambo mengi kwenye simu nunueni INFINIX HOT 10 PLAY mtafaidi sana.
  10. Simeone

    Hivi hakuna namna rahisi ya kujua Code ya mtandao wa simu kwa haraka?

    Rahisi tu Voda: 079, 076, 075, na 074 Airtel: 078 na 068 Tigo: 077 na 065 Halotel: 062 na 061.
  11. Simeone

    Nimechagua Infinix hot 60 pro badala ya Samsung A16 zote bei zilikua sawa 400k

    Mfano matumizi gani? yaani nataka kujua baadhi ya hayo matumizi kwa wale mnaojua kutumia simu tofauti na mtu wa kawaida anayefungua websites na apps mbalimbali.
  12. Simeone

    Identification zetu JF zinaficha mengi sana

    Samahani mkuu GENTAMYCINE je, ni wewe ndo wanakuongelea hapa?
  13. Simeone

    Nimechagua Infinix hot 60 pro badala ya Samsung A16 zote bei zilikua sawa 400k

    Sawa, na nyie mnaojua kuzitumia mnaingia wapi?
  14. Simeone

    Vitu vitatu vitakavyoiua Simba SC kwenye dabi ya kariako 1/03/2036

    GENTA jana Alisema wao wanastraika aliyekuwa anacheza ligi ya timu ya U LA YA hawaihofii yanga
  15. Simeone

    Kuna Timu moja 'strategically' inafanyiwa 'mind game' na Mpinzani na yenyewe imejaa tarehe 1 Machi,2026 kuna mauwaji ya Kishalubela Guantanamo

    Afu hiyo siku ni leo, tunasubiri muda tukajitafunie ka simba ketu 😂😂😂
Back
Top Bottom