Tumieni busara kubishana bila uelewa hakuwasaidii chochote, IGP maana yake ni Inspector General of Police, na CDF maana yake ni Chief of Defence Forces, nafikiri mtajua kipi ni kipi?
Hawezi kuwa wa kawaida hata siku moja kwa sababu kuwa Rais tu sio kitendo cha kawaida toka uhuru tuna Marais wangapi? Pili ujue kichwani kwako jamaa amezaliwa siku moja na Putin, na wote ni Marais, kitakuwa kichwa cha kawaida?
Hii mitambo ya kufua Umeme naona imekuwa laana kwa Tanzania, Inabidi itaifishwe tu, TANESCO amiliki yote sababu iliingia kwa njia za panya na pesa zake hazitaacha kutoka kwa njia za panya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.