Kumuona Daktari Tsh.10,000/=

Kumuona Daktari Tsh.10,000/=

Watanzania wanalialia sana. Yaani efu 10 ndo unaiandikia thread?
 
Hivi huu utaratibu wa kutoa elf 10 kwenda kumuona daktari kabla ya tiba ni sahihi wajameni !?

Nimetozwa mwekundu kumuona daktari wa ngozi (Temeke Hospital),maelezo niliyopewa na huyo Skin Specialist nikilinganisha na muda nilioutumia kuitafuta hiyo buku kumi hayalingani kabisa.Wa hali ya chin tunaumia maana nimeshindwa kununua hata dawa naona kama nimeenda kumtunza daktari pumbaaavuu.

Serikali liangalien hili naona sasa watoa huduma za afya wameona kugoma ni kupoteza muda badala yake wanacharge pesa ambazo hazistahili.

Nendaa baraka plazaaa ukajioneee mwenyewee mbn hiooo cha mtoto pale kutoaaa jinooo kilooo
 
Mimi naomba tu na hao madaktari wawe na nidhamu kwa wagonjwa wao, wanapenda sana kudhalilisha wagonjwa wenye jinsia ya kike.
 
Kama amedhalilishwa na ana ushaihidi si aende mahakamani acheni umbea bana mi, mnadhani sie ni ma robot hatupendi hela eti hela wanazijua wengine na mimi ukija clinic yetu 25000 kumuona doctor mpaka 50000 hutaki usilete joja maana haitakusaidia wala kupiga makelele haitasaidia ama kuja kuandika huku jamii forums
 
We unayekuja kulalalama huku ndio wale wale kwa mganga wa kienyeji ikipigwa laki tano huji kutangaza jamiii forum, hivi kwani ulilazimishwa kumiona huyo dr kama uliona hajui kitu, kama daktari sitakiwi kushindana na mgonjwa kama huridhiki nitafafanua kadiri ya ufahamu wangu huridhiki sepa tu usilete kilele nyingi. Ni ushamba huo
 
Tozo halali kwa Hospitali kadhaa za serikali sasa !
Hospitali mkoa Dodoma ni elfu 10;fast track elfu 25 kufungua faili
 
Wakuu,mmewahi kuulizia gharama za kujiunga mfuko wa bima ya afya taifa;na uone balaa lake kwa mtu binafsi(ASIYEAJIRIWA)?
 
Yes ni kama 964800 kwa mwaka na laxima ulipe at onr installment ila unapewa green card
 
Hivi huu utaratibu wa kutoa elf 10 kwenda kumuona daktari kabla ya tiba ni sahihi wajameni !?

Nimetozwa mwekundu kumuona daktari wa ngozi (Temeke Hospital),maelezo niliyopewa na huyo Skin Specialist nikilinganisha na muda nilioutumia kuitafuta hiyo buku kumi hayalingani kabisa.Wa hali ya chin tunaumia maana nimeshindwa kununua hata dawa naona kama nimeenda kumtunza daktari pumbaaavuu.

Serikali liangalien hili naona sasa watoa huduma za afya wameona kugoma ni kupoteza muda badala yake wanacharge pesa ambazo hazistahili.

Hyo mbn kidogi mkuu Kuna Hosp moja Pale Arusha kwa Dr Urassa ni Tshs 50,000...
 
lalamikia hao wanaokula bilioni 361 sio hao wanaokula elfu 10...
 
lalamikia hao wanaokula bilioni 361 sio hao wanaokula elfu 10...

Post hii hivi ni ya lini?au una makengeza maana post ni ya 2weeks+... & then Tegeta Escrow ni current issue!!
 
Post hii hivi ni ya lini?au una makengeza maana post ni ya 2weeks+... & then Tegeta Escrow ni current issue!!

Mkuu hata kama post ingekuwa ni ya mwaka juzi, bado ana uhuru wa kuchangia(hakuna limitation/ya expiry date ya comments.(pengine aliiona jana)
 
Ni kujidharau na kumdhihaki muumba unapodhubutu kujiita mlalalahoi, hivi asiyena mikono wala miguu ajiiteje?we unayebofya vitufe na bado unajiita mlala hoi
 
Walikuangalia, wakaona wewe ni mlalamishi sana badala ya kukucharge ya "Specialist" wakakutoza ya "General..." na wakakudirect kwa huyohuyo "General..." na akakupa maelezo "General", wewe unakuja kuwalalamikia "Specialist" humu!
 
Hivi huu utaratibu wa kutoa elf 10 kwenda kumuona daktari kabla ya tiba ni sahihi wajameni !?

Nimetozwa mwekundu kumuona daktari wa ngozi (Temeke Hospital),maelezo niliyopewa na huyo Skin Specialist nikilinganisha na muda nilioutumia kuitafuta hiyo buku kumi hayalingani kabisa. Wa hali ya chin tunaumia maana nimeshindwa kununua hata dawa naona kama nimeenda kumtunza daktari pumbaaavuu.

Serikali liangalien hili naona sasa watoa huduma za afya wameona kugoma ni kupoteza muda badala yake wanacharge pesa ambazo hazistahili.
Kama una uwezo wa kununua internet bundle na kuingia JF kwanini unalalamika kulipia matibabu? Sasa hivi kuna kuchangia gharama. Yaani wewe una uwezo bado unataka kuipa mzigo serikali. Du kweli ujamaa umetulemaza. Ulitakiwa uwe na bima ya afya hapo ulipo. Hiyo elfu kumi ni ndogo sana. Ulitakiwa kulipa angalau 30
 
Mimi Huwa Najitibu Mwenyewe, Huwa Nagoogle Tu,nauona Ugonjwa Wangu Na Tiba Yake.Naenda Famasi Nanunua Dawa.Huu Mwaka Wa Kumi Sasa Najitibu Kwa Njia Hiyo Tu.

Haaaahaaaha hii kiboko yao,unagharamia pesa ya bundle tu kuingia google.
 
Back
Top Bottom