Myanguneni
JF-Expert Member
- Oct 12, 2012
- 1,192
- 276
jina lako tuuu(MALISA) linatosha kumjulisha mtu kuhusu andiko lako kabla hata hajalisoma. vipi jamhuri ya kaskazini bado mnaendelea na mikakati ya kuiunda???
risala ya kikwete ni hotuba bora kabisa kwa vigezo vyoote na amewazima vibaya nyie wajinga mnaotaka mwanya ili mumsakame kuwa ametoa ahadi hewa. sisi tunasubiri chochote kitakachoamuliwa na wao tunaenda pamoja
Mbona kuna watu katika chama chake hawakuta mchakato huu wa katiba mpya lakini yeye alishikilia bango ? au msimamo upi mnaoutaka? kuhusu hatua ya upigaji kura alisema jambo hilo linahitaji kufanyiwa mabadiliko ya sharia iliyounda tume ya mabadiliko ya katiba na BMK.alisema UKAWA walismahuri kuvunja BMK wakati hao hao ndiowalipendekeza Rais asiwe na mamlaka ya kuingilia BMK au tume ya jaji warioba.