Recent content by simbampole

  1. simbampole

    Vodacom wanaingilia mpesa ya mteja na kutoa pesa zote kulipia nipige tafu bila hiari ya mtu

    Dawa ya Mitandao ya simu ni kuwachoma TCRA. ingia tovuti yao, bofya "malalamiko" Jieleze vizuri, kwa kutoa taarifa zinazojitosheleza. Watakurudishia hela yako halali walipoinyofoa bila halali. Niliwatenda Halotel hawatanisahau. Huduma kwa wateja ya Halotel wakajinafikisha kunipigia simu kuhoji...
  2. simbampole

    Inakuwaje hadi watu 155 wanafariki Kwa mafuriko, wananchi hatupewi taarifa, hadi Waziri Mkuu atuhabarishe?

    Habari kubwa ni pale mkuu wa wilaya anapompokea mkuu wa mkoa kwa maandalizi ya ujio wa waziri kuja kukagua madarasa! 😂😂😂
  3. simbampole

    Nina alizeti nataka kukamua

    Duuuh! Ili nifike Matembele ya Pili kutoka Kibaha na kurudi inabidi nipande bus 6. Nauli si chini ya sh. elf 6!
  4. simbampole

    Nina alizeti nataka kukamua

    Nina alizeti kilo 10, nataka kukamua mafuta. Nielekezeni kwenye mashine iliyo karibu na hapa ninapoishi, Kibaha, Picha ya Ndege.
  5. simbampole

    Nitapata wapi 4G Solar Camera

    Zipo, zinakuwa na motion Detector, sound recorder, speaker. WiFi, na ya rangi hata usiku.
  6. simbampole

    Nitapata wapi 4G Solar Camera

    Ulishapata hiyo Camera ya 4G?
  7. simbampole

    Tujuane wadau wa biashara, ulipo na bidhaa zako

    New member mwenzangu Alatwimika,, jifunze basi toka wajasiriamali waliomo humu namna ya kubandika tangazo ili kupunguza au kuondoa maswali mengi! Naomba majibu ya maswali yafuatayo: Unauza ujazo gani? Kila ujazo ni bei gani? Gharama za usafirishaji juu ya nani?
  8. simbampole

    Wakuu vidonda vya tumbo dawa yake nini?

    Ungeambiwa maziwa ya 🐫 je? Lita ya maziwa ya mbuzi Sh elf 4-6! Dawa ya mgonjwa mengi ndoa maana hayapatikani kiurahisi na bei ndo hiyo!!!
  9. simbampole

    Kurugenzi ya Fedha ya Acacia yasema haina kiasi cha dola milioni 300 za kuilipa Tanzania

    Ninacho mpendea Magufuli, kashika kwenye mpini. Acacia kashika kwenye makali. Yale Makontena 26 Bandarini silaha tosha ya kumfanya Acacia asifurukute kama alivyoshindwa kufurukuta mara ya kwanza! Kaza kamba Magufuli, Mkombozi wetu wa wanyonge Tanzania. Tunakushukuru, sasa hivi dawa phamarcy bei...
  10. simbampole

    Karibu EFC kwa mikopo ya haraka na yenye riba ndogo Tanzania

    Yaonekana huyu Bwana/Bibi, hajatulia. Alikuwa afanye biashara kwa kutumia advertising ya bure hapa Jamiiforums, lakini anashindwa kuwahudumia wateja. Hata kujibu tu thread za wateja imekuwa kazi kwelikweli kwake. Kwa nini ulilikoroga? Ulinywe!! Tunataka majibu ya maswali yetu.
  11. simbampole

    Karibu EFC kwa mikopo ya haraka na yenye riba ndogo Tanzania

    Niko Kibaha km 30 toka Dsm ila mkoa mwingine. Nakidhi vigezo?
  12. simbampole

    Waliosoma na kufanya kazi nje ya Tanzania

    Huhitaji nauli kwenda majuu ... niambie fani yako nikuelekeze jinsi ya kwenda bila kutoa hata senti tano yako ya mfukoni, isipokuwa gharama za passport tu!
  13. simbampole

    Ni kuhusu Nabii Suguye mmiliki wa WRM TV!

    Swali lilikuwa; "Kuna mtu hapa anaabudu kanisani kwa huyu Nabii Suguye?", hayo majibu kuwa, aliwahi kuwa korokoroni, anapata hela na wanawake, sio jibu, ndo maana mitihani mnafeli !!! Mimi naabudu Kanisa la WRM. Kwa taarifa Mungu huwainua waliojikwaa. Mimi nilijikwaa lakini nimeinuliwa. Nabii...
  14. simbampole

    Zinauzwa: Juicer, photocopier, jiko la kukaangia chips, sealing machine

    Unalo jiko la kukaanga chips linalotumia gesi? Nahitaji pia oven ya gesi. Tuwasiliane 0621 053 506
  15. simbampole

    Natafuta patner nina skills katika utangazaji tufanye kazi

    Nitafute kwa namba hii 0754349281
Back
Top Bottom